Kuna Mbunge nimemsikia mjengoni akiomba Serikali iajiri wanaojitolea. Hii haikubaliki

Kuna Mbunge nimemsikia mjengoni akiomba Serikali iajiri wanaojitolea. Hii haikubaliki

ngebe

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2020
Posts
1,789
Reaction score
5,117
Mnaenda kututengenezea mazingira gani? binafsi mimi niseme ni baba wa mtoto mmoja, pia ninatunza familia wazazi wangu wananitegemea mimi, kipindi nimemaliza chuo niliamua kujitolea lakini hali ikawa mbaya nilikuwa napewa elfu 30 kwa mwezi, familia yangu ile na wazazi niwape majukumu, ikabidi niache kujitolea nianze mishe mishe za mtaani sasa hivi nafanya kazi ya ulinzi.

Sasa mtu mmoja na akili zake nimemshangaa sana leo Bungeni anasema waajiri waliojitolea hii sio haki, na wengi wanaojitolea ni watoto wanaoishi kwao kwa kutegemea wazazi wengine hatutegemei tunategemewa.

Napinga hiyo hoja kwa asilimia 200%, huu ni ubaguzi na uonevu, yeye huko bungeni ingekuwa ni kujitolea angekuweko?

Kuna wabunge ni mizigo tu leo nimeamini
 
Sasa masuala ya familia yako yana uhusiano gani na hao wanao jitolea? Je, una uhakika wote wanao jitolea, wanatokea kwa wazazi wao? Yaani hakuna wenye status kama yako?

Mimi naona uendelee tu na hiyo kazi yako ya ulinzi! Maana siyo vizuri kuilalia mlango wazi riziki ya mwenzako. Wewe ulikimbia mwenyewe kujitolea! Hakuna aliye kufukuza.
 
Mnaenda kututengenezea mazingira gani? binafsi mimi niseme ni baba wa mtoto mmoja, pia ninatunza familia wazazi wangu wananitegemea mimi, kipindi nimemaliza chuo niliamua kujitolea lakini hali ikawa mbaya nilikua napewa elfu 30 kwa mwezi, familia yangu ile na wazazi niwape majukumu, ikabidi niache kujitolea nianze mishe mishe za mtaani sasahivi nafanya kazi ya ulinzi,

sasa mtu mmoja na akili zake nimemshangaa sana leo bungeni anasema waajiki waliojitolea hii sio haki, na wengi wanaojitolea ni watoto wanaoishi kwao kwa kutegemea wazazi wengine hatutegemei tunategemewa,


napinga iyo hoja kwa asilimia 200% huu ni ubaguzi na uonevu, yeye huko bungeni ingekua ni kujitolea angekueko?

kuna wabunge ni mizigo tu leo nimeamini
Umelewa au! Ndio maana hupati ajira. Tulia andika kwa ufasaha ueleweke
 
Mnaenda kututengenezea mazingira gani? binafsi mimi niseme ni baba wa mtoto mmoja, pia ninatunza familia wazazi wangu wananitegemea mimi, kipindi nimemaliza chuo niliamua kujitolea lakini hali ikawa mbaya nilikua napewa elfu 30 kwa mwezi, familia yangu ile na wazazi niwape majukumu, ikabidi niache kujitolea nianze mishe mishe za mtaani sasahivi nafanya kazi ya ulinzi,

sasa mtu mmoja na akili zake nimemshangaa sana leo bungeni anasema waajiki waliojitolea hii sio haki, na wengi wanaojitolea ni watoto wanaoishi kwao kwa kutegemea wazazi wengine hatutegemei tunategemewa,


napinga iyo hoja kwa asilimia 200% huu ni ubaguzi na uonevu, yeye huko bungeni ingekua ni kujitolea angekueko?

kuna wabunge ni mizigo tu leo nimeamini
Hakuna mtu humo Ni mapoyoyo tu!
 
Tuanze na wabunge na mawaziri wajitolee kwanza na huyo mwenye wazo awe mfano
 
alie muelewa anieleweshe anyway tusubir polepole atatolea ufafanuz

Ngoja nikueleweshe
Anachomaanisha ni kwamba unapojitolea unakua unatumia Fedha nyingi kuliko unazoingiza. Kwanzia usafiri kufika kazini mpaka za kujikimu ukiwa eneo la kazi

Yupo rafiki angu mmoja aliingia madeni ya ajabu sababu ya kazi hizi za kujitolea kukiwa na ahadi ya kuajiriwa baadae.

Wengi wanaofanya kazi hizi kwa furaha huwa wana wazazi/ndugu au wafadhili wanaowapa fedha za kujikimu, masikini wengi hushindwa kutokana na kuingia hasara. Hivo anaona bora akajifanyie kashuhuli kadogo apate kidogo kuliko kukaa ofisini unapigwa AC ukitoka hapo Madeni kila kona.

Wanapokuja kuajiri, wanaoajiriwa ndo wale ambao tayari mambo safi ila wale walioacha wakaenda kuuza mkaa watabaki mtaani.
 
Wanapokuja kuajiri, wanaoajiriwa ndo wale ambao tayari mambo safi ila wale walioacha wakaenda kuuza mkaa watabaki mtaani.
Kuna andiko linasema "mwenye nacho huongezewa".

Huwezi kupingana na agizo la mwenyezi Mungu.
 
IMEFIKIA HATUA MNANG'ANG'ANIA AJIRA KWA NGUVU[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Kama walimu wenyewe mmojawapo ni huyu.Mwenyezi Mungu awaajalie hao wanafunzi.
 
Usiwe na wasiwasi kama umemaliza kitambo utapata tu
 
Sasa masuala ya familia yako yana uhusiano gani na hao wanao jitolea? Je, una uhakika wote wanao jitolea, wanatokea kwa wazazi wao? Yaani hakuna wenye status kama yako?

Mimi naona uendelee tu na hiyo kazi yako ya ulinzi! Maana siyo vizuri kuilalia mlango wazi riziki ya mwenzako. Wewe ulikimbia mwenyewe kujitolea! Hakuna aliye kufukuza.
Pumbavu!
 
Jina la mtoa mada linasadifu yaliyoandikwa kwenye uzi wake [emoji2][emoji2][emoji2]
 
Wanaojitolea ndio walistahili zaidi kuanza kipao mbele kama wewe ulivyokua ukijitolea ila hayo ni maneno tuu kama ulijitolea na ulikosa sasa inakuaje unahisi watapata wanaojitolea? Piga kazi popote kambi.
 
Back
Top Bottom