Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hivi hawa wachawi kwanini hawachukui nishani ya Nobel ya Physics kwa kupaa angani bila kutumia kanuni za physics zinazoeleweka?
mkuu Kiranga bana! tehe!
Safari hii bunge lina watumishi wa mungu. Wameanza kuumbuka hawa vigagula
wamuangalie vyema sio kiongoz wa maandamano ya chadema
Siyo Dr. Slaa huyo kweli!
Kwenye chakula kunakuwa na vitoweleo kibao ,mboga ,samaki,maziwa (mtindi) ,na hapa JF haswa hapa kwenye jukwaaa la siasa refreshment ni lazima,bila ya hivyo unaweza kupata wazimu ,hivi unakumbuka pale bungeni palikamatwa unga ,ukaletwa hadi DSM kuchunguzwa ,wale waliouchunguza hawajulikani mpaka leo wapo wapi.