Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

he he heee! anataka katiba ijayo iwatambue wachawi nn.Hiyo kali ya mwaka.
 
Ndio maana tunaongoza dunia(nchi ya kwanza) kwa Uchawi. Kwenye mambo ya maendeleo tunafanya utumbo hivi sisi tuna laana gani hii nchi.
 
Kuna habari imenifikia mida hii kuwa kuna mtu anaesadikiwa akiwanga kwenye eneo kunapofanyika mkutano wa bunge lakatiba ,mwenyewe anadai ameanguka akitokea Zaire Congo akielekea Msumbiji ,amedai kuwa katika eneo hilo kuna mzunguko mkubwa wa nguvu za giza ,nguvu hizo ndio zilizosababisha kuingia kwenye mkondo na kumvuta hadi kuangukia hapo.

Baadhi ya mashuhuda wamedai sio kweli kama alikuwa akikatiza anga ya Tanzania kuelekea Mozambiki kwani ameonekana na vikoba akiwa na nakala ya rasimu ya katiba waliokuja nayo jamaa wa ccm ,iliyozua tafrani kiasi ya kuwafadhaisha CCM wenyewe, hivyo amekuja kuwekeza vitu ili kuwazidii wale wanaoipinga rasimu ya katiba hiyo ya ccm yenye muelekeo mwengine ambaoni tofauti kabisa na ile rasimu ya Warioba iliyotokana na wananchi walio wengi.

Mwanga huyo ameshikiliwa na kusaidiwa kupewa nguo za kujisetiri.

Aisee!
 
Hiyo kali ila ni uelewa mdogo kwan katiba sio ya chama bali ni ya wana nchi hivyo basi inatakiwa kutokana na wananchi
 
Nani aliyewahi kukamtwa anamwaga unga kwenye viti mnamkumnuka? Na nani aliyemtuhumu?sasa unatafuta nani kafanya hibyo leo?
 
Back
Top Bottom