Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

Huo ni mkusanyiko wa watu. Chance ya kuwapo wachawi ni kubwa tu
 
Haya mashetani ya CCM bado yanaendelea! mtakumbuka Chengi alipatikana kwenye kamera za bunge akiwanga wakati wa bunge la Samwel Sitta? Hayo ndiyo mashatani yanayotuwangia ili tuwe mazezeta!! tuikubali rasimu yao ya majimarefu prof. Wako wapi wanashinyanga tuyakate mapanga kama wale vikongwe wa Magu wasio na hatia!!!
 
mambo ya kupika haya ku-divert attention to serious matters

mara posho, mara kura za siri, mara wizi wa simu, mara uchawi... typical politics of a small circus ya "the so called wenye nchi"

hapa ni chezo ili serious matters zipite kama tulivyozoea... i think it is high time someone get shot in the a$$ twice and it will stop forever
 
Serikali legelege kama hii tuliyonayo ndiyo faida yake hiyo bado tutaona na kusikia mengi muda si mrefu!
 
Sina uhakika kama kuna nchi nyingine duniani usalama wa taifa wanatumia ndumba pia. Kwa Tz nadhani zimeshatokea cases 2 au 3 za usalama wa taifa kuhusishwa na ndumba kwenye kutenda kazi zao...
 
Nakumbuka Chenge alivyobambwa Bungeni 'akiwanga' hahahaaaaaaaaaaaaaaaa! CCM na ushirikina ni DAMUDAMU!
 
[video=facebook;10151920403460060]https://www.facebook.com/photo.php?v=10151920403460060[/video]
 
Mh ina maana Kingunge alifanikiwa kuingia ndani ya Bunge ila mwenzie ndio akanaswa?
 
Sikieni nyie maccm,harogwi mtu hapa katiba mpya ya watanzania ni lazima mnataka au hamtaki ktk Jiiina la Yesu'
 
Kama huamini uchawi pale bungeni ndio hatari ,tena ,yaani wewe ulikuwa wapi ,kuna mtu alikamatwa anamwagilia unga viti vya bungeni ,mbona ilikuwa habari kuu magezetini ,!

Andrew Chenge huyo.
 

Alinyunyizia unga hata kwenye kiti cha Harison Mwakyembe. Eti huyo Chenge awe Mwenyekiti wa bunge la katiba? Labda awe katibu wa kingunge.
 
Hakuna cha ajabu.

Chama cha waganga wa tiba asili ni moja ya kundi la watu 201 walioteuliwa.

Wapo kazini, wanaonyesha ushiriki wao kwa vitendo.
 

Nahisi kuna mambo mengine huwa yanafanyika makusudi kutoa mwanya 'upepo upite'. Wananchi badala ya kufuatilia jambo fulani, basi akili zao huchotwa na tukio lisilo na miguu kama hili. Mchawi na rasimu ya katiba wapi na wapi??? Sina hakika na tukio hili na hata kama limetokea, halina uhalisia ndani yake, ninavyoamini mimi!!!!
 
wamuangalie vyema sio kiongoz wa maandamano ya chadema

Tony Gwanco, as a verified user I do advise you to think twice before you post any thing, otherwise you are highly undermining your personality. How could a witchman belonging to CHADEMA ranks be caught with a draft copy of the constitution prepared by CCM ranks? I have come across a your posts a number of time, most of them are rubbishes. Too sad, thanks that I do not know you, I would be ashamed to be associated with a person of small thinking capacity as yours, pretending to be a Great Thinker!

If you are one of CCM's fans, your contribution in destroying it is remarkable.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…