Kuna mchawi kakamatwa kunakofanyika Bunge la Katiba akiwa

he he heee! anataka katiba ijayo iwatambue wachawi nn.Hiyo kali ya mwaka.
 
Ndio maana tunaongoza dunia(nchi ya kwanza) kwa Uchawi. Kwenye mambo ya maendeleo tunafanya utumbo hivi sisi tuna laana gani hii nchi.
 

Aisee!
 
Hiyo kali ila ni uelewa mdogo kwan katiba sio ya chama bali ni ya wana nchi hivyo basi inatakiwa kutokana na wananchi
 
Nani aliyewahi kukamtwa anamwaga unga kwenye viti mnamkumnuka? Na nani aliyemtuhumu?sasa unatafuta nani kafanya hibyo leo?
 
πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚ πŸ˜‚
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…