Munch wa annabelletz47
JF-Expert Member
- Aug 13, 2019
- 1,885
- 3,227
- Thread starter
- #61
Wakubwa hawaogop wakubwa wnzaoMama umut namuogopa ๐๐๐ wewe eka vocha hapa haina shida eti
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakubwa hawaogop wakubwa wnzaoMama umut namuogopa ๐๐๐ wewe eka vocha hapa haina shida eti
Mimi bingwa wa siasa swez shindwa kujieleza kupata maks hata 7 kati ya kumi hata kama najua kzungu kwa 25%Huyo hajapata hizo maksi 10, ndo alikua anazipambania ila ninauhakika hawezi zipata
๐๐๐๐๐Mimi bingwa wa siasa swez shindwa kujieleza kupata maks hata 7 kati ya kumi hata kama najua kzungu kwa 25%
Remote sensing na GIS ni masomo wawili tofaut๐๐๐๐๐
Ni remote sensing and GIS ?ama
Jamaa ni fwala tu hana uwezo huo. Ni kuhangaika hangaika tu.Huyo hajapata hizo maksi 10, ndo alikua anazipambania ila ninauhakika hawezi zipata
Nimepiga yakiwa combinedRemote sensing na GIS ni masomo wawili tofaut
Acha roho mbaya, pesa sio zako rudishaUshaur mzuri mkuu mungu akubark
Ww unawivu wa kike hadi sasa hivi ajanitafuta na lain yangu ni ya lipa najuaje namba zake acha umbeaAcha roho mbaya, pesa sio zako rudisha
We si utak helaBroo ni mm rudisha nitakupa elfu tano
Me
Nimepiga yakiwa combined
Acha wivu dadaKwa uandishi huu, wa kumuonea huruma ni umut na mama yake
Call customer service acha ujinga, you know itโs not your money but you want to keep it, rudisha acha visingizio vya kifala, wizi tabia chafuWw unawivu wa kike hadi sasa hivi ajanitafuta na lain yangu ni ya lipa najuaje namba zake acha umbea
Npo mkoan swez kukaa uko kila baada ya nyumba 3 kuna papaiOyaa upo dar ama wapi? Mbona umekaa kiyabo sana mzee wng
Huna akilCall customer service acha ujinga, you know itโs not your money but you want to keep it, rudisha acha visingizio vya kifala, wizi tabia chafu
JE, MNANISHAURI VIPI LIWE ZALI LA MTENDE AU UTU NIWEKE MBELE