moi wa kitaa
JF-Expert Member
- May 3, 2015
- 931
- 940
Ulijuaje kma mdada mbona kwenye story sijaona
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ushaur mzurUtu tia nyuma na unyama tia mbele.
NB: wewe si unataka ushauri !!😏
Jina limekuja lakike lakn kama ushawah kufanya kazi ya uwakala ndo utanielewa malipo yote ya lipa kwa smu yantumwa kwa namba moja tu na mliki wa hyo namba ni vodaUlijuaje kma mdada mbona kwenye story sijaona
Utakapokuja kupitishiwa kitu kigumu cheusi kutokea nje ndo utajua nani ni dada kati ya mimi na weweAcha wivu dada
Rudisha acha kuzingua, it’s not your moneyJina limekuja lakike lakn kama ushawah kufanya kazi ya uwakala ndo utanielewa malipo yote ya lipa kwa smu yantumwa kwa namba moja tu na mliki wa hyo namba ni voda
Npo mkoan swez kukaa uko kila baada ya nyumba 3 kuna papai
PAPAI kibao kweli, Ila
Kusema huwezi ishi uko kwasbabu nyumba 1,2, ya 3 kuna papai unawakosea wana dar es salaam!
Oky turudi kwa uzi nenda rudisha io pesa mzee wng
Laini ya Lipa ya MPESA na AIRTEL inaonesha namba na jina la mtu aliyekulipa.Ww unawivu wa kike hadi sasa hivi ajanitafuta na lain yangu ni ya lipa najuaje namba zake acha umbea
Leta ushaid hapa acha maneno manenoLaini ya Lipa ya MPESA na AIRTEL inaonesha namba na jina la mtu aliyekulipa.
Nafanya biashara na nina lipa namba ya VODA na AIRTEL.Leta ushaid hapa acha maneno maneno
Nina lipa mpesa
Lipa tigopesa
Lipa Airtel money
Aya sawaNafanya biashara na nina lipa namba ya VODA na AIRTEL.
Ukipokea malipo kwa mteja kutoka mtandao wowote utaona jina na namba yake. Hili halihitaji kubishana.
Smart mganga tambitambiCha mtu hakiendi hivi hivi, amini kwamba kuna siku itakugharimu sana
Rudisha upesi
SijakuelewaSmart mganga tambitambi
Sio darasan hapa mpaka kila ktu ueleweSijakuelewa
Hyo n mipango ya mungu huyo kufa kwan ww ndo mtoa rohoWeka utu kwanza.
Ilikuwa 2014, kuna mtu alikosea muamala kwa M-pesa nikampuuza maana maelezo yake ni kwamba ile hela alikuwa anaituma kwa mgonjwa(45,000), nilimpuuza lkn ukweli nilipokuja kuutambua nilikuwa nimechelewa. Yule mgonjwa alifariki.
Hadi leo huwa najuta kwa nn sikumsikiliza yule mtu...