Kuna mdau anauliza hivi jela usiku na mchana wanahesabu kama siku 1 au 2?

Kuna mdau anauliza hivi jela usiku na mchana wanahesabu kama siku 1 au 2?

Mbona hamna cha ajabu zaidi ya kutikisa makalio tu, hamna kiuno wala ufundi wowote.
Kwenda jela kisa huyo dem ni hasara na matumizi mabaya ya hisia na kujaza jela zetu bure.
 
😀 😀 😀 😀 mkuu hapo pa jichanganye ndo pamenitisha kuliko vyote
Ni wazuri mno, walaini kama unga wa ngano uliokandwa tayari kwa chapati zilizonyumbulika namna hii.
46a712b8269a70cfa7ad346162f92dd5.jpg
 
Aah mim hao nimepiga sana wakati napanga vijibweni kigamboni...
Mikadi beach pia wapo wengi sana...
Sema wanafunz wanawah kukata moto, inatakiwa upige taratibu
 
It boggles my mind how Pedophilic posts get extreme tolerance on jf.
Being attracted to teenagers isn't right, but it doesn't fit the textbook definition of a pedo.

That being said, sexualizing minors is common in our Tanzanian societies, it's not like people accept it, getting a minor pregnant will send you to prison, but anything less than that will be ignored.
 
Hakuna kitu kama hiko..siku moja ni mwendo wa masaa 24 kama kawaida!!
02:Kuamka saa 06:00 kunywa uji wenye sukari ya kawaida
03: Saa 09:00 Asubuhi mna kula chakula cha mchana, hapo ndio imetoka hadi kesho!( Kama ukitaka una bakisha unatunza ili uje ule usiku)
04: Jela kuna watu hawali chakula cha Jela!! ukitaka wali nyama,kuku,chapati,supu,.n.k...unapata(vyakula vya nje)( hii ni pale tu ndugu yako alikuja na pesa yako ya kujikimu either ya mwezi or week akaacha kwa Askari!!
05: Jela hakuna Ubabe
06: jela kuna Azam Tv
07: Kila mtu anafanya kazi( baada ya kula chakula saa tatu Asubuhii!! Mnapiga kazi masaa matatu Tu!! Then mnarudi ndani
08: Baada ya kurudi ndani 13:00 ni mwendo wa stori mwanzo mwisho hadi saa 18:00 inapiga filimbi wote kimya,wote mnainamisha kichwa chini mlale,Amri,no story hapo hadi asubuhi
09: Vyoo vipo visafi na tena vingi tu
10: Mfungwa anae hamishwa hambiwi, kimya kimya ana bebwa(kwenye kruza) bila kujua anaenda wapi au mkoa gani hii ni USIKU sana
11: Shida ya jela na ugumu wake ni kukosa ule uhuru(kila siku upo ndani,upangiwa kulala)
Duuuh haya mateso jamanii, sijioni nikiwezaa aaaah.
[emoji53][emoji53][emoji53]
 
Mbona inasemekana kuna michezo michafu ya Sodoma na gomora ?
Mbona inasemekakuna kujisadia kwenye ndoo na kwenda kumwaga na kusafisha mafi bila sabino wala dawa ?
Nasikia wanajisaidia kwenye ndoo, yaan mambo ni mengi, khaaah
 
Back
Top Bottom