Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

Tetesi: Kuna mgawanyiko mkubwa ndani ya CHADEMA kuhusu kuacha kuhudhuria vikao vya Bunge. Kuna fukuto la chini kwa chini

kwa njaa waliyonayo wabunge wengi wa Ufipa mimi naamini ulichosema Bia Yetu! hata kwa logic tu mtu akichezea ugali wa wanao hawezi kuwa rafiki yako!! yani kwa ndani wabunge wote maskini wa roho wamechukia mno na wanamzomea DJ , ila usoni watamchekea sana DJ kinafki!

DJ ni mlafi na mchumia tumbo na hajawahi kuwa na akili siku zote huwa anakurupuka na kuropoka tu!! chama ni saccos yake binafsi na daima zidumu fikra zake tu, hataki mtu ampinge!! hataki mtu agombee uenyekiti ni yeye tu!!huyu ni dikteta mbobevu na mchochezi mkubwa huyu hatakiwi kabisa kurudi bungeni ikibidi hata tumchukue ‘Mshamba’ wa Mtama aje afunge goli la mkono au la tik tak kwa maslahi mapana ya taifa!
 
Usiamini uzushi wa mtandaoni brother
Wewe binti utajitambua lini???
Fukuto lipo Lumumba Hadi chato kama vipi uliza hapo Lumumba wapi alikojificha bashiru alli...
Bungeni hakukaliki Kwa wabunge wa CCM wote wanataka kurudi Nyumbani
 
Bora wahudhurie wavute posho za mwisho- mwisho kwa kuwa wengi wao hawatakaa wazione tena!
 
Basi tutawaona Bungeni... Na kama tusipowaona basi utabidi tukuvalishe sketi tu. Maana hauwezi kuwa mwanaume...
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
 
Inauma sana kwenye mshahara wa wabunge, Mbowe anawafyeka

Na leo amewakataza kuhudhuria vikao vya bunge!

Mbowe amezidi udkteta, sasa nimeeleewa Kwanini wabunge wa Chadema walikuwa wanakitosa chama hicho
kwa njaa waliyonayo wabunge wengi wa Ufipa mimi naamini ulichosema Bia Yetu! hata kwa logic tu mtu akichezea ugali wa wanao hawezi kuwa rafiki yako!! yani kwa ndani wabunge wote maskini wa roho wamechukia mno ila usoni watamchekea sana DJ kinafki!

DJ hajawahi kuwa na akili siku zote huwa anakurupuka tu!! chama ni saccos yake na daima zidumu fikra zake tu, ni dikteta!
 
Hivi ni kwa nini Propaganda za CCM ni dhaifu mno? Propaganda isiyofanana na ukweli ni upuuzi mtupu??
 
Hali ni mbaya mtandaoni tu

Ila mtaani watu wanapambania mkate

Nyie wenye vipesa vyenu mnadeka Kweli
Press haina maana ni suala la kutii na usipoafiki endelea na vikao period.

Viongozi wa cdm hawajawafunga minyororo wabunge wao. Hali ni mbaya tusicheze na uhai ndugu.
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika
Tunashukuru kwa mawazo yako
 
Kuna fukuto kubwa Ndani ya chadema kuwa uamuzi wa chairman wa Chadema kuamua wabunge wote wa Chadema waingie karantini zimeleta sintofahamu kwa wabunge wengi wa chama hicho

Baadhi ya wabunge wa Chadema wamelalamika kutokushirikishwa katika maamuzi yaliyochukuliwa na chairman Mbowe
Kuna wabunge wa Chadema wanalalamika kuburuzwa kila mara, Wengi wanaona kutokuhudhuria vikao vya bajeti ni kama kuwasaliti wapiga kura wao

Kwa inavyoonekana Chadema ni km bomu linalosubiria kulipuka

My take :chairman kuwa mwanademokrasia acha maamuzi ya kibabe lasivyo chama kitasambaratika

Stupid
 
Back
Top Bottom