Bia yetu
JF-Expert Member
- Apr 14, 2020
- 6,921
- 8,321
- Thread starter
- #281
Mkuu nakuhakikishia Ndani ya chadema kuna fukuto kubwa sana, wengi wana hasira na chairman
Hebu fikiria wabunge wa Chadema wanakatwa mshahara zaidi ya milion na Mbowe
Leo hii anawakataza wasibudhurie vikao wajipatie hata posho kidogo
Je Hii ni haki Ndugu yangu?
Tuhamasishe Wananchi tumkatae Mbowe kwenye chama
Hebu fikiria wabunge wa Chadema wanakatwa mshahara zaidi ya milion na Mbowe
Leo hii anawakataza wasibudhurie vikao wajipatie hata posho kidogo
Je Hii ni haki Ndugu yangu?
Tuhamasishe Wananchi tumkatae Mbowe kwenye chama
Hizo zote posho wakifikilia posho za bungeni moja haikai waende tu watajua wenyewe