Kuna Mgongano wa Katiba ya Zanzibar na ya Muungano, ufumbuzi wake tutake tusitake ni katiba mpya!

Na bado mtasoma katiba hadi nukta
Rais ni Samia S Hassan...mtake msitake
 
Nimekuelewa sana Mkuu. Kama ulivyosema tusiendelee kutegemea busara za viongozi ambazo ndio zinafanya kuonekana mambo yako sawa. Nakubaliana na wewe Katiba mpya ya JMT ndio itaimarisha Muungano zaidi
 
Hatuhitaji katiba mpya kwa sasa iliyopo inatosha,period. Nguvu zetu wote tuzielekeze kwenye kuwa-letea wananchi maendeleo.Tuungane wote katika hili.
After all mwananchi wa kawaida hana habari na katiba mpya,what he/she wants is a better life.
Watanganyika.nddio huwq hawana habari na Mambo hayo' Wazanzibar wanajua hili vizuri Sana na hawatanii katija hilli
 
Tulijisahau tukadhani labda Marais wa Muungano kwa muda mrefu wataendelea kuwa ni watu kutoka Tanganyika na kwa hiyo watawadhibiti Wazanzibar kwa Majeshi kutoka Tanganyika, Tukasahau kuwa Mungu ana mipango yake maana hata hao Marais wa Tanganyika hawana guarantee ya Kumaliza terms zao madarakani na hivyo kutufanya tupate Marais kutoka Zanzibar kwa kustep in kwa mujibu wa katiba pindi lolote la kutokea likitokea.
Kwa hiyo kutegemea Rais Mzanzibari awafanyie Unyama Wazanzibari wenzie pindi wakilianzisha kule kwa kudai autonomy zaidi hilo sahau, sanasana atawapelekea FFU tu na siyo Wajeda kwenda kunyoosha mambo

Solution ya haya yote ili tusifike huko ni lazima tuandike katiba mpya ili kusolve haya mambo mapema. Tukiendelea kudhani eti Nia njema ya viongozi wa pande zote mbili ndiyo itaodoa hizi tofauti bila kufanya lolote la mabadiliko kwenye hizi katiba ni kujidnaganya kwelikweli!
 
Unaakili ndogo kama aliekuzaa
Ninyi mnaopanga mipango miovu nchi yetu iwe ya mashoga,mharibu familia na kuhamasisha wanawake watu-tawale wanaume ndio mna akili kubwa?Pumbafu kabisa,ungekuwa karibu yangu ningeku-toa ngeu.
 
Watanganyika.nddio huwq hawana habari na Mambo hayo' Wazanzibar wanajua hili vizuri Sana na hawatanii katija hilli
Mmelishwa matango mwitu na Wazungu hamuoni wala hamsikii.Ni mtindo wa ku-copy na ku-paste tu,originality zero.Sijui nani alituroga.Hivi aliyewaambia kila cha Mzungu ni kizuri nani,mngejua mmeingizwa mkenge!
 
Kwa katiba ya Zanzibar ya mwaka 2010, Wazanzibar walijipatia ushindi mkubwa sana katika lengo lao la kujichomoa kwenye makucha ya Tanganyika. Hapa Wazanzibar wanapaswa kuwashukuru Maalim Seif na Karume kwa kutumia Akili kubwa!

Naamini JK aliusoma huu mchezo ndo maana akakimbia harakaharaka kuleta katiba mpya ili kuilia denge move hii ya Wazanzibar, Unfortunately Magufuli hakuelewa gemu pana iliyokuwa inachezwa pale, akaamua kusitisha mpango wa Katiba mpya ile ya Chenge.

Naanza kushawishika lengo la Katiba ya Chenge siyo kuwapa wananchi katiba nzuri bali ilikuwa ni Kuondoa ukakasi wa move ya Wazanzibar ya mwaka 2010. Katiba halisi ya wananchi ilikuwa ni ya Warioba!

Pia ukichunguza kwa Makini kumbe kitendo cha Maalim kuingia kwenye SUK mwaka 2020 kunasaidia kulinda mafanikio ambayo Maalim Seif aliingia na Karume, Kama Maalim asingingia CCM walikuwa wanakwenda kubadili katiba ya Zanzibar na kuiondolea mafanikio amabyo Wazanzibar waliyapata katika move yao ya kujichomoa kutoka kwenye makucha ya Tanganyika kutokana na katiba yao ya 2010.

NYIE WATUNGA SERA , MSIBWETEKE, HUU MUUNGANO HAUKO SALAMA BILA KUSOLVE CONTRADICTION ZILIZOMO KWENYE KATIBA HIZI MBILI, HUU NI MUDA WA KATIBA MPYA ILI KUONDOA SINTOFAHAMU HIZI, MSITEGEMEE HISANI YA GOODWILL YA VIONGOZI WA PANDE HIZI MBILI KWA KUWA ETI WANATOKA CHAMA KIMOJA!, IPO SIKU TUTAPATA VIOGOZI WASIOSHIBANA WAKAZINGUANA KWA KILA MMOJA KUEGEMEA KATIBA YAKE AU IPO SIKU TUTAPATA VIONGOZI WOTE WAWILI NI WAZANZIBAR WAKASHIBANA SAANA NA WAKALINDA MASILAHI YA NCHI YAO YA ZANZIBAR KIKAMILIFU, HAPO HUU MUUNGANO UTAENDELEA KUWA WEAKENED!
 
Hukuona walivyoshiriki katika mchakato wa kutafuta Katiba mpya; hawa ni wananchi wa sasa siyo wa 1947!
How many out of 56 plus million?Acheni ku-cook taarifa.Na hata haoo.. hivi vi-NGO uchwara ndivyo vimewaghilibu.We know your motive,wala hamhangaikii katiba kwa ajili ya wananchi,it if for your evil motives.
 
Watanganyika.nddio huwq hawana habari na Mambo hayo' Wazanzibar wanajua hili vizuri Sana na hawatanii katija hilli
Kwani kila wanachokiona kizuri Wanzanzibari na sisi lazima tukione kizuri?Wewe vipi?We are not copy cats.Sisi tumesema katiba hapana,we have more important issues.
 
Humu kuna ID zilupotea muda mrefu sana. Asantw Gamba la Joka
 
How many out of 56 plus million?Acheni ku-cook taarifa.Na hata haoo.. hivi vi-NGO uchwara ndivyo vimewaghilibu.We know your motive,wala hamhangaikii katiba kwa ajili ya wananchi,it if for your evil motives.
Dogo unaandika pumba kwa sababu ya tumbo lako. Ondoa aibu basi
 
Dogo unaandika pumba Mbkwa sababu ya tumbo lako. Ondoa aibu basi
Dogo?Temea mate chini Pythagoras,laiti ungenijua!

Any way,mimi sichumii tumbo,kama unavo dhani,I am self sufficient.Nipo JF ili kujaribu kunyoosha hoja potofu zinazo letwa humu na watu kama ninyi.

Nipo hapa pia kuleta hoja ambazo si rahisi kuzipata kwenye mainstream media, kwa sababu ya censorship.Nia ni kuelimisha na kuleta taarifa sahihi..
 
Kama weww sio mchumia tumbo ungeona haja ya kuboresha katiba yetu kwa maslahi ya taifa lakini kwa kuwa ni kinyume chako haya hicho unachosema uko self suffiecient ni kutokana na opportuniatic behaviour zako. You would have thought broadly.
 
Dogo unaandika pumba kwa sababu ya tumbo lako. Ondoa aibu basi
Hivi hivi vi-NGO vyenu si ndivyo vinaleta eti vilainishi na kutahiri wanaume!Hamna aibu kabisa,aliye-waambia hatuwezi kujitahiri nani.Huku ni kutuaibisha wanaume aisee.Yaani ninyi watu katika kuchumia tumbo na kufanya uovu hamna mwisho,you can do literally anything.
 
Hicho kichwa kinankazi yake, usikitumie kubebea nywele tu!
 
Nadhani katiba mpya sio suluhisho la tatizo, kwa sababu Zanzibar bado itapinga baadhi ya vipengele kama tulivyoona kwenye mchakato ulio pita. Suluhisho ni kuirudisha Tanganyika kama tuliifuta kimakosa, ama kama bado ipo basi itoke hadharani kama ilivyo Zanzibar badala ya kujificha nyuma ya JMT. Kwa kuwa wazanzibari walibaki na nchi yao kwa uwazi vivyo hivyo Tanganyika nayo iwepo kwa uwazi halafu tukae pamoja kuzungumzia namna ya muungano.
 
Hakuna haja ya kujitenga, tunaweza kupata muundo bora wa muungano.
Ikishindikana hiyo Katiba Mpya, basi wajitenge tu na hivyo kujitegemea kwa kila kitu! Natamani pia kuona siku moja na sisi tukijivunia Utanganyika wetu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…