Kuna mikutano ya siri kutuondoa watu weusi duniani

Kukiwa na mapigano hapa afrika na wakimbizi wakikimbia ni nani anayewapa asylum? Kuna wakimbizi wanenda Doha, Saudi au Dubai? Si wakimbizi wote wanaenda ulaya
 
Hata sijasoma bandiko lako....acha watuue tu wote, hatuna mchnago wowote duniani zaidi ya kuzaliana tu. Hata kujiongoza wenyewe hatuwezi
 
Vijana wenyewe mathematics physics hawataki kusoma
 
Apart from inventing cooking pots, Africans never discovered anything.
Rudia ile historia ya darasa la sita " wakushi au wanabi waliishi wapi" na huko walipo ishi walivumbua nini ambacho ndicho chanzo cha maendeleo yote humu duniani? Usimsahau pia mzee Zinjanthropus na mahabafri yake bila kujali yule doctor Leakey wa oldvua goji na utafiti wake... mengine mengi yamo vitabuni ila sis bado tunasinzia na vitatari na simu za vitochi...
 
Thread ya hovyo kuwahi kuisoma Toka nimejiunga jamii forum
 
Sio waafrika ccm ni janga la taifa hili
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…