Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna CHADEMA mstaarabu kama mimi.okay,
unafanya mazoezi ya kuanza kuyaporomsha sio 🤣
Zile Konyagi ziliwekwa uccm zile.ulimi hauna mfuko, or no mfupa 🐒
Wako Vijana wasiokuwa Wastaarabu katika kila Chama CHADEMA na CCM.kwahiyo unaanza kuleta uchochezi ndani ya chadema sio?
kwamba chadema sio wastarabu ispokua wewe tu alaaa?🐒
Kama lipo jambo litaje kwa faida ya wadau.
Tangu awamu ya 5, chairman Mbowe amakua akijaribu kuongoza mipango ya jumla ya chama chake ikiwa ni pamoja mikutano ya hadhara na maandamano bila mafanikio. Ni majuzi tu baada ya Dr Samia Suluhu Hassan kuondoa katazo la maandamano lililokua limewekwa na mtangulizi wake hayati Dr John Magufuli.
Ndipo chairman Mbowe akafanikiwa kupanga mikutano ya hadhara na kuongoza maandamano ya amani ambayo kimsingi yalidorora sana, hayakua na lengo wala na athari zozote za kisiasa, kijamii, kiuchmi, kitaifa na kimataifa, na wengi mpaka leo hawajui yale maandamano yalikuaga ya nini.
Chairman ameruka sana na chopa hivi karibuni lakini hakuna impacts zozote kisiasa mpaka sasa za mikutano yake na haijulikani na hata imesahaulika kama alizunguka nchi nzima kufanya mikutano ya hadhara na chopa mwaka huu...
Hivi karibuni, chairman Mbowe ametoa wito kwa wanachadema kufanya maandamano yasiyo ya amani, ya fujo, vurugu, na uharibifu. eti ni maandamano yenye kauli mbiu samia must go ili kumuwajibisha Rais Dr.Samia, na kumuondoa madarakani, mtu ambae amechaguliwa na wananchi kidemokrasia na ndie alieruhusu kufanyika maandamano yoyote ya amani nchini, na Rais Dr.Samia akaenda mbali zaid akaruhusu mikutano ya hadhara kwa vyama vya siasa nchini, vitu ambavyo ilikua ni marufuku awamu katika tano.
Ndrugu zangu, hivi haya yote ndio matokeo ya utashi wa kisiasa alio nao Rais Samia kwa taifa? Hii ndio shukran ya chairman Mbowe, kwa wema, hisani na ungwana uliopitiliza wa Dr.Samia Suluhu Hassan kwa taifa? Au ni dharau na uhuru ulio pitiliza wa kisiasa kwa wanasiasa? Au hii ndiyo ile inaitwa shukran ya punda ni mateka?
Surely, au chairman Mbowe anataka kubadilisha Chama Cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kua Chama Cha Fujo na Uharibifu wa maendeleo CCFUM? Kwamba Demokrasia sasa basi chadema? na kwamba sasa inajipanga kuleta fujo na kuharibu kabisa maendeleo makubwa sana ya wananchi yaliyoletwa na Dr Samia Suluhu Hassan na Serikali yake sikivu ya CCM?
Kama ni hivyo chadema ibadilishwe jina basi walau iitwe Chama Cha Fujo na Uharibifu wa maendeleo, right? kwasabb si ndicho inachopanga kufanya chini ya chairman Mbowe aliekosa maono na uelekeo wa kisiasa.
Infact, Chairman Mbowe hakuwahi kufanikiwa lolote chadema na kwakweli kwenye hili pia hawezi kufanikiwa kabisa. Ni muhimu tu awe muungwana ang"atuke kwenye nafasi yake kwa amani kabla hajabanduliwa kwa nguvu kama ilivyowahi kutokea kwa James Francis Mbatia wa NCCR-mageuzi, kwasabb ya kukosa ubunifu, mipango na maono ya mbali juu ya namna bora ya kufanya siasa ya Amani.
Hayupo mwanasiasa nchini anaeweza kuruhusiwa kwa namna yoyote ile kupanga mipango ya kuhatarisha umoja, amani na Utulivu. huyo atakabiliwa, atadhibitiwa na atawajibishwa ipasavyo kwa mujibu wa sheria, kwa kuvuruga amani ya waTanzania ambayo imejengwa kwa gharama kubwa na kwa muda mrefu 🐒
Mungu Ibariki Tanzania
ni kama manyumbu tu ambavyo huwa yanashangaa mwezao akitafunwa na simba kwa uchungu mkali, halafu yenyewe yanasogea tu na kushangaa kwa kukodoa macho bila msaada wowote..Hahahah kuwa chawa kazi sana aisee (slavery), inabidi uende tu na upepo master wako anavyokutuma au anavyotaka!
Kweli kabisa lazima ucheze ngoma ya mpiga zumari mkuu! Akisema nyumaz geuka, lazima umpe, tuliopita jeshini tunajua!ni kama manyumbu tu ambavyo huwa yanashangaa mwezao akitafunwa na simba kwa uchungu mkali, halafu yenyewe yanasogea tu na kushangaa kwa kukodoa macho bila msaada wowote..
Tundu lisu is very lonely politically speaking, he is completely confused with calmness of his chairman towards the elections..
Ni mbaya ee dah 🐒
Sure, gentlemanKweli kabisa lazima ucheze ngoma ya mpiga zumari mkuu! Akisema nyumaz geuka, lazima umpe, tuliopita jeshini tunajua!