Kuna mipango yoyote Freeman Mbowe amefanikiwa CHADEMA mbali na maandamano yaliyoruhusiwa na Rais Samia?

ulimi hauna mfuko, or no mfupa πŸ’
Zile Konyagi ziliwekwa uccm zile.
Haiwezekani mind attic kuchomoa faili la sisiem na kureplace Chadema ghafla vile.
Kuna kitu hapa sio bure.
 
Wako Vijana wasiokuwa Wastaarabu katika kila Chama CHADEMA na CCM.
taja wawili pale chadema ili apate msaada wa kisaikolojia bure kutoka kwenye timu maalumu ya ushauri wa kisiasa kisaikolojia πŸ’
 
Kwa anayefahamu siasa/mfumo wa siasa kwa nchi nyingi za Afrika waliletewa na kuwa forced kwa kile kinachoitwa SAPs. Better kujiuliza yafuatayo;
SAPs Ina makusudi gani? Ina terms na conditions zipi? Ililetwa ili iweje? Je makusudio yake yametimia? (Why yametimia au hayajatimia?)..... Inawezekana kubishania au argumentation kuhusu jambo fulani pasi kulijua ama kulifahamu itapelekea "kipofu kuona mwezi au bubu kuzungumza kwa ufasaha".
 

Hahahah kuwa chawa kazi sana aisee (slavery), inabidi uende tu na upepo master wako anavyokutuma au anavyotaka!
 
Hahahah kuwa chawa kazi sana aisee (slavery), inabidi uende tu na upepo master wako anavyokutuma au anavyotaka!
ni kama manyumbu tu ambavyo huwa yanashangaa mwezao akitafunwa na simba kwa uchungu mkali, halafu yenyewe yanasogea tu na kushangaa kwa kukodoa macho bila msaada wowote..

Tundu lisu is very lonely politically speaking, he is completely confused with calmness of his chairman towards the elections..

Ni mbaya ee dah πŸ’
 
Kweli kabisa lazima ucheze ngoma ya mpiga zumari mkuu! Akisema nyumaz geuka, lazima umpe, tuliopita jeshini tunajua!
 
Kweli kabisa lazima ucheze ngoma ya mpiga zumari mkuu! Akisema nyumaz geuka, lazima umpe, tuliopita jeshini tunajua!
Sure, gentleman
una full and pure characteristics za jeshi la mgambo na kumbe ndiyo maana mnakayagana na kucheka wenyewe?

nawaona mpo wengi wengi tu,

hata hivyo ,
pamoja na hayo tutaendelea kuwaongezea uelewa na ufahamu wa kutosha dhidi ya uchaguzi huu muhimu sana ndani ya chadema iliyogawanyika bila mbambamba yoyote πŸ’
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…