Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

MKATA KIU

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2010
Posts
3,410
Reaction score
8,184
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.


Ezekieli 5:17 imeandika hivi​

Nitakupelekea njaa na wanyama wakali ambao watakupokonya watoto wako; maradhi mabaya, mauaji, na vita vitakuja kukuangamiza. Mimi, Mwenyezi-Mungu, nimesema.”


1 Wakorintho 7:27-28 imeandika hivi

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.


IMG_20250220_222614.jpg
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.

1 Wakorintho 7:27-28 imeandika

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.
Ngoja nitetee mada kwa namna ninavoelewa

Kuhusu kuleta upanga hapo alimaanisha kuleta neno ambalo watu wengi litawachoma kama upanga kutokana na matendo Yao yaani hawatalipenda na watawachukia wafuasi Wa kristo yesu

Na aliposema hakuja kuleta amani alimaanisha wale ambao wanglisikia neno Hilo na kulitafuta wangepingwa vikali na watu wasioamini na wanafiki.

Over
 
Biblia ni boooooonge la kitabu. Tatizo nyinyi vijana hamjapita mafundisho ya kipaimara, hamuendi bible study, hamsomi theolojia ya biblia vizuri....hii inawafanya mistari hii kuwachanganya sana sababu mnasoma bible kama gazeti.

bonge la kitabu limeandika nyoka anaongea

wewe kwa akili zako timamu unaamini nyoka huwa anaongea?
 
Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema
Ongezea na hii:

Isaya 34:2-3

2:
Maana BWANA ana ghadhabu juu ya mataifa yote, na hasira kali juu ya jeshi lao lote; amewaangamiza kabisa, amewatoa waende kuchinjwa. 3:Watu wao waliouawa watatupwa nje, na uvundo wa maiti zao utapaa juu, na milima itayeyushwa kwa damu yao.

Isaya 34:6

6:
Upanga wa BWANA umeshiba damu, umenona kwa unono, kwa damu ya wana-kondoo na mbuzi, kwa mafuta ya figo za kondoo waume; maana BWANA ana dhabihu huko Bozra, machinjo makubwa katika nchi ya Edomu.

Quran 2:120

Al-Baqarah


وَلَن تَرْضَىٰ عَنكَ ٱلْيَهُودُ وَلَا ٱلنَّصَـٰرَىٰ حَتَّىٰ تَتَّبِعَ مِلَّتَهُمْ ۗ قُلْ إِنَّ هُدَى ٱللَّهِ هُوَ ٱلْهُدَىٰ ۗ وَلَئِنِ ٱتَّبَعْتَ أَهْوَآءَهُم بَعْدَ ٱلَّذِى جَآءَكَ مِنَ ٱلْعِلْمِ ۙ مَا لَكَ مِنَ ٱللَّهِ مِن وَلِىٍّۢ وَلَا نَصِيرٍ ١٢٠


Never will the Jews or Christians be pleased with you, until you follow their faith. Say, “Allah’s guidance is the only ˹true˺ guidance.” And if you were to follow their desires after ˹all˺ the knowledge that has come to you, there would be none to protect or help you against Allah.

Ukitumia common sense hasa kwa yanayoendelea huko Mashariki ya kati, Mungu hawezi kutamka hayo maneno, ila ni maneno ya kibinaadamu!
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.

1 Wakorintho 7:27-28 imeandika

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.
Ni kweli hata kwenye quruan kujitoa muwanga na kubaka watoto dogo kuwa suna nayo siyo ya mungu.
 
Ni kweli hata kwenye quruan kujitoa muwanga na kubaka watoto dogo kuwa suna nayo siyo ya mungu.

naona unaleta ujanja wa logical fallacy unaitwa straw man fallacy umeleta.

yaani unahamisha mada kwa unanja.. ili tuhamie kuijadili Quran.

kwenye hii hoja hakuna aliyesema kama quran ni maneno ya Mungu.

hii hoja inahusu biblia.. mambo ya quran ni kuhamisha mada
 
Kuna mistari ya biblia wachungaji hawapendi kuisoma makanisani
Hilo andiko la Mathayo Lina maana Pana sana kama ifuatavyo ikiwa umeamua kuokoka hakika lazima watu ulikuwa nawo mnafanya mambo yenu au ndugu au wazazi watatangaza vita na ww hiyo ipo hivyo 2 Ukizifuata njia MUNGU lazima uikane nafsi unaambiwa mpende adui Yako kama nafsi Yako si mchezo pia adui Yako usimuombee baya Maana Mungu anajua Yote kuliko weye upo apo
 
naona unaleta ujanja wa logical fallacy unaitwa straw man fallacy umeleta.

yaani unahamisha mada kwa unanja.. ili tuhamie kuijadili Quran.

kwenye hii hoja hakuna aliyesema kama quran ni maneno ya Mungu.

hii hoja inahusu biblia.. mambo ya quran ni kuhamisha mada
Kwani vitabu vinahusu wakina nani.hakuna kitabu kilichoandikwa na mungu wala kushushwa na mungu.yaliyo shushwa ni amri kumi tena kwa mawe alifata musa.
 
Ni kweli hata kwenye quruan kujitoa muwanga na kubaka watoto dogo kuwa suna nayo siyo ya mungu.

biblia na quran vyote vina maneno ya ajabu ambayo hata kichaa anakataa sio maneno ya Mungu
 
Back
Top Bottom