Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

Kuna mistari ya Biblia ukiisoma unakataa sio maneno ya Mungu

Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."
Lugha nzito za kiteolojia hizi ukizisoma kwa kukariri unatoka patupu!!!
Natafsiri kidg kadiri ya uelewa wangu “ Yesu alimaanisha ujumbe wake utagawanya watu kuna wale wanaoukubali na wale wanaoupinga. Pia tunapaswa kutambua changamoto na madhara ambayo yanaweza kuletwa na kukubali kweli ya Neno la Mungu.
 
Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."
Ahhahha hapa ndio kwanza kazi imeanza , binafsi naona kwamba ujumbe na mafundisho yake yanaweza kusababisha hata baba na mtoto, mama na binti, au mkwe na mamamkwe kuwa na tofauti kwa sababu ya imani zao na kutapokea mafundisho,Ujio wa Yesu na mafundisho yake yanaweza kuleta changamoto katika uhusiano wa familia, kwani si wote watakubali.
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.


Ezekieli 5:17 imeandika hivi​

Nitakupelekea njaa na wanyama wakali ambao watakupokonya watoto wako; maradhi mabaya, mauaji, na vita vitakuja kukuangamiza. Mimi, Mwenyezi-Mungu, nimesema.”


1 Wakorintho 7:27-28 imeandika hivi

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.


View attachment 3243228
You're the living God
 
bonge la kitabu limeandika nyoka anaongea

wewe kwa akili zako timamu unaamini nyoka huwa anaongea?
Tatizo lako nishalieleza hapo. Wewe hujui biblia ni nini, kwanini ipo na ipo kwaajili ya nani. Jaribu kuyatafakari maswali hayo utanielewa
 
Walokole wakiona bible imepinda pinda hawana hoja kuitetea watakwambia unasoma bible kama gazeti ila wakiona neno limenyooka wapo kimya hauwezi kuwasikia kuhusu kusoma kama gazeti
 
Mfano : Matthew ( Mathayo) 10:34 imeandika
"Msidhani ya kuwa nalikuja kuleta amani duniani; la! Sikuja kuleta amani, bali upanga."

Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema hajaja kuleta amani bali chaos

Na Mathayo 10:35 imeandika

"Kwa maana nalikuja kumfitini mtu na baba yake, na binti na mamaye, na mkwe na
mamamkwe yake."


Inashangaza Mungu mwenye upendo anasema amekuja kufitini watu. Kumbe ndio maana wakwe hawapatani na wakamwana wao.


Ezekieli 5:17 imeandika hivi​

Nitakupelekea njaa na wanyama wakali ambao watakupokonya watoto wako; maradhi mabaya, mauaji, na vita vitakuja kukuangamiza. Mimi, Mwenyezi-Mungu, nimesema.”


1 Wakorintho 7:27-28 imeandika hivi

Ikiwa hujaoa, usitafute mke. Lakini ukioa, hujatenda dhambi. Na msichana ambaye hajawahi
kuolewa akiamua kuolewa, hajafanya dhambi.

28 Lakini wale wanaooa au kuolewa watakutana na matatizo katika maisha haya, nami nataka
kuwaepusha na matatizo hayo.

Exodus 20 20-21 imeandika ni ruhusa kumpiga mtumwa wako , Mungu gani mwenye upendo anaruhusu kuwafanya binadamu mwenzako kuwa watumwa na anaruhusu kuwapiga.


View attachment 3243228

Majibu yamo kwenye hiyo hiyo Biblia
 
Biblia haisomwi kavukavu kama quran au gazeti utatoka kapa. Maandiko yale yana tafsiri zake katika kufundisha
 
Hao jamaa unawafahamu?
 
Back
Top Bottom