Kuna mitaa imelaaniwa

Swala la MAFANIKIO linahitaji Mambo Mengi Sana na sio laana au baraka

Mitaa ya Uswahilini ni ngumu kufanikiwa au kufika hatua kubwa ya MAFANIKIO kutokana na uhaba Mdogo wa MAARIFA na kutokuwa na ile inaitwa money literacy.

Hiyo hiyo Sehemu unayoona huwezi ndo WATU wengine wamefanikiwa.
 
Ni life style tu na mifumo hakuna Cha laana.Kisarawe inatoa mawaziri nchi hii toka uhuru itakuwaje ilaaniwe?
 
Umasikini na ujinga ni hatari sana kuanzia ngazi ya kaya, ukoo, mtaa, kijiji, kata, tarafa hadi taifa.
Kwa leo ni hayo tu
Tatizo letu ni kuhusianisha kila kitu na ushirikina. Inachekesha kuona kwamba nchi zilizoendelea hua zinaliona bara zima la Afrika ni kama limelaaniwa kwa jinsi lilivyo nyuma, wakati huo huo eti na sisi humu ndani tunanyoosheana vidole kwamba eneo fulani limelaaniwa..😆😆

Wakati kiuhalisia sisi wote ni giza tupu tofauti ni ndogo sanaa..
 
Uko sahihi,inabidi uzame sana kwenye maombi na toba ili uvunje hizo laana ili na wewe mwenyewe pia uweze kubaki salama...
Hizo sehemu ulizosema hazina maendeleo ndio Zina uzinzi, ukahaba, madawa, wizi, uchawi etc na hivyo siyo rahisi kupata maendeleo. Hivyo vitu na roho ya maendeleo ni maji na mafuta. Niambie mtu anayetumia madawa au mwasherati mwenye maendeleo. Refer wasanii wetu
 


NAUNGA MKONO HOJA!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…