Kuna mitaa imelaaniwa

Una hoja mkuu, Kuna mitaa ukiishi maisha yatakuchapa balaa.

Mtumishi Rabbon Mfalme Sulemani ongezeni neno...
 
Hitabia ya kusema umasini laana imeanzishwa na wachungaji kuwadanganya wafuasi wao hili wapige hela
 
Nchi nyingi zinaongoza kwa ukahaba na ushoga tena zinaongoza kwa maendeleo ya kila kitu tatizo lako ukiona mtu tajiri unadhi kabalikiwa na ukimuona masikini unamuona kalaniwa basi kuanzia baba babu zako mpaka wewe mwenyewe mnayo laana
 
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]
 
Naunga mkono hoja, mitaa waliokaa waarabu ndiyo inaongoza. Sijui hao jamaa walituachia kitu gani. Chunguza vizuri palipokuwa na miarabu huwezi toboa.
 
Ndioo
 
Mitaa ambayo haijalaaniwa ni ipi?? Fikira za namna hii ndio chanzo cha kuwepo imani kama zile zinzopelekea kuua binaadamu wenzetu wenye albinism. Jitume kwa bidii kwenye kila ufanyacho utafanikiwa, hakuna miujiza. Hakuna mtaa wenye laana, ila kuna mitaa yenye watu wenye asili ya uvivu wengi na wamekutana na mazingira yanayo support utamaduni wao wa uvivu
 
Una hoja mkuu, Kuna mitaa ukiishi maisha yatakuchapa balaa.

Mtumishi Rabbon Mfalme Sulemani ongezeni neno...
Pwani, bagamoyo,Tanga, tabora bukoba, lindi na mtwara, in short, mkoa au wilaya au nchi iliyokaliwa na waswahili na waarabu kwanini Ina Ujinga na Umaskini wa umekithiri?

Tatizo ni IBADA za sanamu, na Kutoa sadaka Kwa mashetani, waarabu na waswahili na Dini Ile huambatana na majini, na kutegemea Waganga na majini na miungu yule wa Baharini lazima Nchi ilaaniwe, lazima watu walaaniwe,

Kutoa sadaka Kwa shetani, lazima afunge kipato, lazima akupe magonjwa, lazima awaambukize chuki na Roho mbaya, lazima umalaya ukithiri, wizi nk nk.

Majini, shetani, waendaji Kwa Waganga na Kutoa sadaka huko, lazima wawe maskini wa kutupa, sababu shetani ni mlaaniwa,

KAZI ya shetani ni wizi, UOVU, uharibifu, uuaji na UOVU wote,

Likewise, sehemu zote, walipopita missionaries na kuhubiri INJILI na Neno la Mungu, Ujinga ulidondoka, magonjwa yaliondoka na Umaskini ulidondoka, sababu Mungu anayehubiriwa kwenye INJILI, ni Mungu wa Kweli Yesu mwenye baraka, Upendo na Amani,HAKI.

Likewise, hata katika uongozi, akitawala wa Dini Ile, lazima Hali iwe ngumu Kwa wananchi,lazima wizi uongezeke, ufisadi,uvivu uongezeke nk nk, sababu kuu ni IBADA ya sanamu Kwa ibilisi na makafara.

Mungu atusaidie, maana nyota njema imeonekana juu ya nchi yetu, Mlawi anakwenda kuwa Ajaye,

Baraka lazima zitatamalaki juu ya nchi, na LAANA kutuondoka.

Amen
 
Kuna mtaa mmoja maeneo ya buguruni, wanaofungua biashara mitaa ile kama ni mgeni sio mzawa wa pale ukitoboa miezi 4 wewe ni kigume na wenyewe wanasema .
Kuna mwamba mmoja/mshikaji kutoka Zenji alifungua biashara amedumu pale kama miaka 2 anasema kuna mzee alimfuata akamwambia "Wewe ni kidume kweli"
 
Huu uzi umenikumbusha mtaa wa Mtupie eneo la Chumbageni Tanga mjini...

Ulozi nje nje hapo, hata kwa kusikia tu jina la mtaa...
 
Kuna sehemu inaitwa kibera au Kibra, kule watu wanaishi Kama wanyama. Kuna jamaa aliwahi kunipitisha pale nilihuzunika Sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…