25000q
JF-Expert Member
- Dec 27, 2022
- 4,805
- 3,762
Mchungaji wako anakudanganya umasikini sio laanaUko sahihi,inabidi uzame sana kwenye maombi na toba ili uvunje hizo laana ili na wewe mwenyewe pia uweze kubaki salama...
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mchungaji wako anakudanganya umasikini sio laanaUko sahihi,inabidi uzame sana kwenye maombi na toba ili uvunje hizo laana ili na wewe mwenyewe pia uweze kubaki salama...
Jamhuri ya Muungano wa Tanzagiza.Taja tu mtaa 😀😀
Una hoja mkuu, Kuna mitaa ukiishi maisha yatakuchapa balaa.Ulishawahi kukuta mtaa fulani hali ya maisha ya kaya zoote hapo choka mbaya? Mtaa wote umejaa makahaba! Mtaa umejaa walevi! Watoto au kizazi ndani ya huo mtaa hawamalizi darasa la saba au kidato cha nne!
Ndani ya huo mtaa hakuna mtumishi wa umma mwenye mshahara unaoeleweka! Hakuna familia yenye gari na kama lipo ni mkweche! Wanawake ni kupiga majungu na wanaume vijiwe vya kahawa na draft!.
Ndo nikagundua sio tu kuwepo kwa familia zilizolaaniwa, lakini pia kuna mitaa iliyolaaniwa! Kuna vijiji/kata zimelaaniwa! Kuna wilaya zimelaaniwa (kama wilaya ya kisarawe)!
Kuna miji imelaaniwa miji mingi katika mikoa ya pwani, Tabora na kigoma! Unapokuwa unatafuta maisha fanya uchunguzi wa mitaa/kata/wilaya/miji unayoenda vinginevyo hutoboi! Mwisho wa siku lazima hali yako ya maisha iendane na wao!
Nikagundua nyuma ya pazia kuna wachawi wanakaa katika malango ya njia kuratibu kila anayekuja na kuishi hapo na kumpiga tukio! Haya mambo magumu sana kuelewa!
Hitabia ya kusema umasini laana imeanzishwa na wachungaji kuwadanganya wafuasi wao hili wapige helaTatizo letu ni kuhusianisha kila kitu na ushirikina. Inachekesha kuona kwamba nchi zilizoendelea hua zinaliona bara zima la Afrika ni kama limelaaniwa kwa jinsi lilivyo nyuma, wakati huo huo eti na sisi humu ndani tunanyoosheana vidole kwamba eneo fulani limelaaniwa..[emoji38][emoji38]
Wakati kiuhalisia sisi wote ni giza tupu tofauti ni ndogo sanaa..
Nchi nyingi zinaongoza kwa ukahaba na ushoga tena zinaongoza kwa maendeleo ya kila kitu tatizo lako ukiona mtu tajiri unadhi kabalikiwa na ukimuona masikini unamuona kalaniwa basi kuanzia baba babu zako mpaka wewe mwenyewe mnayo laanaHizo sehemu ulizosema hazina maendeleo ndio Zina uzinzi, ukahaba, madawa, wizi, uchawi etc na hivyo siyo rahisi kupata maendeleo. Hivyo vitu na roho ya maendeleo ni maji na mafuta. Niambie mtu anayetumia madawa au mwasherati mwenye maendeleo. Refer wasanii wetu
Kama umasiki ni laana wewe hapo ulipo bora ya masikini kuliko wewe kwahiyo umelaniwa?na wengi wanaishi watoto wa mnyazi mungu
Leo kisalawe ni wilaya ya viwanda wachina kama wote watu watu wanatoka dar wanahamia kisalawa mijengo ya nguvu huyu jamaa kisalawa hakujui pengine analake jambo tuKuna ukweli kwenye hii mada, ila napenda kujua kisarawe kuna laana gani?
Kwahiyo umasini laana?Nimeishi mwananyamala kwa kopa, keko machungwa/magurumbasi, kawe ukwamani, kawe mzimuni na sasa hivi Niko kibanda maiti naunga mkono hoja.
[emoji120][emoji120][emoji120][emoji120][emoji120]Hizo Imani tu ukizipa Nguvu na zenyewe zinakupa Nguvu
Mtu kama haunywi Pombe ,bangi wala sigara na unajitenga na uasherati Uzinzi hata Kama unaendesha bodaboda tu lazima ufanikiwe hatua kubwa SANA.
Watu wanwekeza katika Uzinzi ,pombe Umalaya then wakikwama wanasema laana au kurogwaa .
Hii mitaa ya Uswahilini Mimi ndo naishi wapo wapemba wanamaisha. Safi Sana na watu waswahili wapo vizuri ila Hawa wanawake na vijana wanaoendekeza tabia mbaya ndo Maisha yanawatoa mchezoni Mapema.
Itakuwa unakaa ilala weweMtaa wa 'Makanyagio' mbele ng'ambo ya pili ya barabara ya Chuo cha Mkwawa Iringa
Mbona povu jingi mkuu? Unaviashiria vya laana au nini? Kama vipo jua umelaaniwa anza kupambana na laana utatoboa! 25000qHitabia ya kusema umasini laana imeanzishwa na wachungaji kuwadanganya wafuasi wao hili wapige hela
NdiooUlishawahi kukuta mtaa fulani hali ya maisha ya kaya zoote hapo choka mbaya? Mtaa wote umejaa makahaba! Mtaa umejaa walevi! Watoto au kizazi ndani ya huo mtaa hawamalizi darasa la saba au kidato cha nne!
Ndani ya huo mtaa hakuna mtumishi wa umma mwenye mshahara unaoeleweka! Hakuna familia yenye gari na kama lipo ni mkweche! Wanawake ni kupiga majungu na wanaume vijiwe vya kahawa na draft!.
Ndo nikagundua sio tu kuwepo kwa familia zilizolaaniwa, lakini pia kuna mitaa iliyolaaniwa! Kuna vijiji/kata zimelaaniwa! Kuna wilaya zimelaaniwa (kama wilaya ya kisarawe)!
Kuna miji imelaaniwa miji mingi katika mikoa ya pwani, Tabora na kigoma! Unapokuwa unatafuta maisha fanya uchunguzi wa mitaa/kata/wilaya/miji unayoenda vinginevyo hutoboi! Mwisho wa siku lazima hali yako ya maisha iendane na wao!
Nikagundua nyuma ya pazia kuna wachawi wanakaa katika malango ya njia kuratibu kila anayekuja na kuishi hapo na kumpiga tukio! Haya mambo magumu sana kuelewa!
Pwani, bagamoyo,Tanga, tabora bukoba, lindi na mtwara, in short, mkoa au wilaya au nchi iliyokaliwa na waswahili na waarabu kwanini Ina Ujinga na Umaskini wa umekithiri?Una hoja mkuu, Kuna mitaa ukiishi maisha yatakuchapa balaa.
Mtumishi Rabbon Mfalme Sulemani ongezeni neno...
Ngokolo pia hasa maeneo ya fanta videoShinyanga mtaa unaitwa ndala
Hata kule kusini kwa mkapa kumemtoa Raisi lakin uliona maisha ya kule kipindi cha msiba na jiulize kwanini Ben hakujenga kuleNi life style tu na mifumo hakuna Cha laana.Kisarawe inatoa mawaziri nchi hii toka uhuru itakuwaje ilaaniwe?