Papushikashi
JF-Expert Member
- Feb 28, 2016
- 10,963
- 13,287
Huo mtaa wa kibanda maiti kwanini msiubadilishe jina?Nimeishi mwananyamala kwa kopa, keko machungwa/magurumbasi, kawe ukwamani, kawe mzimuni na sasa hivi Niko kibanda maiti naunga mkono hoja.
Kuna wakati eneo kama waanzilishi wa mitaa walikuwa na tabia za kichawi na wizi kuna uwezekano mkubwa sana mtaa huo kutoendelea na kuwa na crime rate kubwa.Ulishawahi kukuta mtaa fulani hali ya maisha ya kaya zoote hapo choka mbaya? Mtaa wote umejaa makahaba! Mtaa umejaa walevi! Watoto au kizazi ndani ya huo mtaa hawamalizi darasa la saba au kidato cha nne!
Ndani ya huo mtaa hakuna mtumishi wa umma mwenye mshahara unaoeleweka! Hakuna familia yenye gari na kama lipo ni mkweche! Wanawake ni kupiga majungu na wanaume vijiwe vya kahawa na draft!.
Ndo nikagundua sio tu kuwepo kwa familia zilizolaaniwa, lakini pia kuna mitaa iliyolaaniwa! Kuna vijiji/kata zimelaaniwa! Kuna wilaya zimelaaniwa (kama wilaya ya kisarawe)!
Kuna miji imelaaniwa miji mingi katika mikoa ya pwani, Tabora na kigoma! Unapokuwa unatafuta maisha fanya uchunguzi wa mitaa/kata/wilaya/miji unayoenda vinginevyo hutoboi! Mwisho wa siku lazima hali yako ya maisha iendane na wao!
Nikagundua nyuma ya pazia kuna wachawi wanakaa katika malango ya njia kuratibu kila anayekuja na kuishi hapo na kumpiga tukio! Haya mambo magumu sana kuelewa!
Si Nairobi hii?Kuna sehemu inaitwa kibera au Kibra, kule watu wanaishi Kama wanyama. Kuna jamaa aliwahi kunipitisha pale nilihuzunika Sana.
Kisalawe na Kisalawa ndio wapi mkuuLeo kisalawe ni wilaya ya viwanda wachina kama wote watu watu wanatoka dar wanahamia kisalawa mijengo ya nguvu huyu jamaa kisalawa hakujui pengine analake jambo tu
Nimezaliwa MwananyamalaNdio kusema Mwananyamala hakuna watu walioajiriwa hakuna watu wanao jishugulisha
Mbona kama unaandika kwa hasira mkuu? Wewe naona unalenga tu utajiri wa kipato, haya unajua Mimi nina kipato gani?Nchi nyingi zinaongoza kwa ukahaba na ushoga tena zinaongoza kwa maendeleo ya kila kitu tatizo lako ukiona mtu tajiri unadhi kabalikiwa na ukimuona masikini unamuona kalaniwa basi kuanzia baba babu zako mpaka wewe mwenyewe mnayo laana
mbezi beachTaja tu mtaa 😀😀
Igogo usiisahau mkuuMabatini Mwanza.
Bahati mbaya sina uwezo wa kuelezea zaidi ya hapo mkuu. Kama hau ujui umaskini basi wewe utakua sio mTazaniaUnapo ongelea umasikini nini maanake au mtu masikini nitamjuaje?
Maswa nasikia kuna Mtaa unaitwa "Mtaa wa dhambi"Ulishawahi kukuta mtaa fulani hali ya maisha ya kaya zoote hapo choka mbaya? Mtaa wote umejaa makahaba! Mtaa umejaa walevi! Watoto au kizazi ndani ya huo mtaa hawamalizi darasa la saba au kidato cha nne!
Ndani ya huo mtaa hakuna mtumishi wa umma mwenye mshahara unaoeleweka! Hakuna familia yenye gari na kama lipo ni mkweche! Wanawake ni kupiga majungu na wanaume vijiwe vya kahawa na draft!.
Ndo nikagundua sio tu kuwepo kwa familia zilizolaaniwa, lakini pia kuna mitaa iliyolaaniwa! Kuna vijiji/kata zimelaaniwa! Kuna wilaya zimelaaniwa (kama wilaya ya kisarawe)!
Kuna miji imelaaniwa miji mingi katika mikoa ya pwani, Tabora na kigoma! Unapokuwa unatafuta maisha fanya uchunguzi wa mitaa/kata/wilaya/miji unayoenda vinginevyo hutoboi! Mwisho wa siku lazima hali yako ya maisha iendane na wao!
Nikagundua nyuma ya pazia kuna wachawi wanakaa katika malango ya njia kuratibu kila anayekuja na kuishi hapo na kumpiga tukio! Haya mambo magumu sana kuelewa!
Kasoro MimiUkikaa karibu na uwaridi lazima utanukia
And the vice versa
NB: huoni members wa JF wote ni GT,wote wana magari lakin sio TOYOTA[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Ulevi, uzinzi, umalaya, uasherati, uvivu n.k. ni malango ya laana! Laana lazima zipitie pale na kujitokeza katika mikosi, nuksi, mabalaa, majanga, kukataliwa, madeni n.k na baada ya hapo magonjwa, kesi, jera na kifo. Kizazi kinachobaki kinakuw ni kizazi cha mitaani (homeless)Hizo Imani tu ukizipa Nguvu na zenyewe zinakupa Nguvu
Mtu kama haunywi Pombe ,bangi wala sigara na unajitenga na uasherati Uzinzi hata Kama unaendesha bodaboda tu lazima ufanikiwe hatua kubwa SANA.
Watu wanwekeza katika Uzinzi ,pombe Umalaya then wakikwama wanasema laana au kurogwaa .
Hii mitaa ya Uswahilini Mimi ndo naishi wapo wapemba wanamaisha. Safi Sana na watu waswahili wapo vizuri ila Hawa wanawake na vijana wanaoendekeza tabia mbaya ndo Maisha yanawatoa mchezoni Mapema.
25000q mimi sio masikini! Niko vizuri na ninaweza kukuajiri! Nina watu wanaendesha familia zao kupitia ajira zangu! Huna adabu! 25000qUmasini sio laana wewe hapo ulipo ni masikini ndio kusema umelaniwa?nusu ya watanzania ni masikini robo fukara matajiri awafiki hata robo ninacho kiona kwako ujui masikini ni mtu wa aina gani hata tajiri ujui wala laana ujui maana yake
Kama umasikini sio laani ni nini? Ni baraka? Maana kinyume cha laana ni baraka! Umasikini ni laana! Pambana ujinasue!Mchungaji wako anakudanganya umasikini sio laana