Kuna mitaa zaidi ya 20 duniani inakwenda kwa jina la Patrice LUMUMBA, Nadhani Distinction iwepo kabla ya kutoa jina

Kuna mitaa zaidi ya 20 duniani inakwenda kwa jina la Patrice LUMUMBA, Nadhani Distinction iwepo kabla ya kutoa jina

Attachments

  • Picture1.png
    Picture1.png
    53.2 KB · Views: 2
Natambua majina ya maeneo, mitaa, Taasisi au uwekezaji mara nyingine huja yenyewe kutokana na matukio au waanzilishi na mambo mengine mengi hapa nazungumzia haya ya kupewa sio hayo ambayo automatically yanakuwa hivyo .

Duniani kote kuna mitaa na maeneo zaidi ya 20 inayokwenda kwa jina LUMUMBA ,hii ni kutokana na upigania haki , misimamo yake na utendaji kazi wake mkubwa .

Nchi kama Serbia, Ukraine, Nigeria, Morocco, Ghana , Egypt, Iran, South Africa, Morocco, Uganda, Burundi, Kenya, Ethiopia, Haiti, Zambia, Zimbabwe, Germany, Iran, Mozambique na Tanzania ukipita utakutana na jina lake .

Hata Belgium tunaohisi walihusika na kuondoka kwake lipo

China na Russia waliandamana baada ya kifo Chake 17/1/1961 ,na kuna chuo Russia kilipewa jina lake .

Historia ya Lumumba ndio ilifanya wanaharakati kutambua Russia ndiye Rafiki wa kweli wa Afrika .​

Nacho taka kusema hapa hizi mali na uwekezaji wa Nchi ni pesa za wananchi hivyo kitu cha kwanza kabla ya kutoa jina tajiulize aliiifanyia au ameifanyia nini nchi au Taasisi husika mpaka ipewe jina hilo ?

Au hilo jina linatukumbusha nini au lina maana gani katika jamii ? hasa kwa mali au uwekezaji wa umma .


Zamani ulikuwa ukipita mitaa ya sokoine ,Samora , Nyerere,Lumumba ....etc hata ukipewa history ya hilo jina kuna kitu unapata .

Kuwa Mwenyekiti wa mtaa ,diwani ,mbunge, lecturer, Waziri au kiongozi au mtu maarufu yoyote haitoshi lakini kikubwa umeifanya nini jamii au kuna utofauti gani na wengine .



SAMIA station.
magufuli station.
mwigulu secondary
 
Natambua majina ya maeneo, mitaa, Taasisi au uwekezaji mara nyingine huja yenyewe kutokana na matukio au waanzilishi na mambo mengine mengi hapa nazungumzia haya ya kupewa sio hayo ambayo automatically yanakuwa hivyo .

Duniani kote kuna mitaa na maeneo zaidi ya 20 inayokwenda kwa jina LUMUMBA ,hii ni kutokana na upigania haki , misimamo yake na utendaji kazi wake mkubwa .

Nchi kama Serbia, Ukraine, Nigeria, Morocco, Ghana , Egypt, Iran, South Africa, Morocco, Uganda, Burundi, Kenya, Ethiopia, Haiti, Zambia, Zimbabwe, Germany, Iran, Mozambique na Tanzania ukipita utakutana na jina lake .

Hata Belgium tunaohisi walihusika na kuondoka kwake lipo

China na Russia waliandamana baada ya kifo Chake 17/1/1961 ,na kuna chuo Russia kilipewa jina lake .

Historia ya Lumumba ndio ilifanya wanaharakati kutambua Russia ndiye Rafiki wa kweli wa Afrika .​

Nacho taka kusema hapa hizi mali na uwekezaji wa Nchi ni pesa za wananchi hivyo kitu cha kwanza kabla ya kutoa jina tajiulize aliiifanyia au ameifanyia nini nchi au Taasisi husika mpaka ipewe jina hilo ?

Au hilo jina linatukumbusha nini au lina maana gani katika jamii ? hasa kwa mali au uwekezaji wa umma .


Zamani ulikuwa ukipita mitaa ya sokoine ,Samora , Nyerere,Lumumba ,Bibi titi, Karume ...etc hata ukipewa history ya hilo jina kuna kitu unapata .

Kuwa Mwenyekiti wa mtaa ,diwani ,mbunge, lecturer, Waziri au kiongozi au mtu maarufu yoyote haitoshi lakini kikubwa umeifanya nini jamii au kuna utofauti gani na wengine .



Ila kuna mtaa unalitumia vibaya hilo jina
 
Jiwe ndiyo alikuwa mpumbavu zaidi, alitaka aandikwe na kwenye vitabu vya historia halafu watoto wa shule za msingi waanze kumsoma. Bora alikufa mapema, maana na vitabu vilikuwa tayari vimechapishwa.
 
Back
Top Bottom