Tetesi: Kuna mkakati wa kukamata angalau kiongozi mmoja wa upinzani kila wiki , imeagizwa wanyimwe dhamana

Tetesi: Kuna mkakati wa kukamata angalau kiongozi mmoja wa upinzani kila wiki , imeagizwa wanyimwe dhamana

Mwenyezi Mungu amlaze mahali pema peponi. Huyu pamoja na makosa yake lakini alikuwa ni zawadi kutoka kwa Muumba kwa Watanzania. Alikuwa na mapenzi ya kweli kwa Tanzania na Watanzania, hakuwa na chuki za kutisha wala visasi na ndiyo sababu hata waliotaka kumpindua aliwasamehe. Hakuwa muongo, mwizi wala fisadi ukilinganisha na hawa waliokuja baada yake ni majanga matupu!
Vipi kwenye kikao cha mgonjwa Lissu US ulikuwepo? Mbona sikukuona au ulikuwa kazini??
 
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha
Our future may lay beyond our vision.but not completely beyond our control.Some trust their politics connection and today power they have.But we will always trust the power of our Lord our God and saviour Jesus🙏🙏🙏
 
Ok, Lets say wakafunga na kuua wote, je utadhani upinzani utaisha? Tutajenga upinzani wa kimya kimya ambao utakua mbaya sana, watu watalipiza visasi kimya kimya. Sidhani kama CCM wangependa watufikishe huko, siamini kabisa. Siamini kama CCM hakuna mtu mwenye uwezo wa kukemea jambo hili, siamini kabisa.
Hitler alitaka angamiza wayahudi! alijmaliza mwenyewe na mpaka leo wayahudi wanapeta🙏🙏Yana Mwisho haya((KULI))
 
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha

Ƴana mwisho haƴa!
 
Kuwaweka wapinzani lupango ni njia ya kuwakomoa wapinzani waliokataa kununuliwa na kitengo cha manunuzi kutoka Lumumba.
 
Kuwaweka wapinzani lupango ni njia ya kuwakomoa wapinzani waliokataa kununuliwa na kitengo cha manunuzi kutoka Lumumba.
Kabisa , lakini siku mbinu hii ikija ku back fire italeta shida kubwa sana
 
Mrundi anataka kusababisha vurugu nchini kwetu! Hapo TISS wametuangusha kwa.kweli!
 
Ok, Lets say wakafunga na kuua wote, je utadhani upinzani utaisha? Tutajenga upinzani wa kimya kimya ambao utakua mbaya sana, watu watalipiza visasi kimya kimya. Sidhani kama CCM wangependa watufikishe huko, siamini kabisa. Siamini kama CCM hakuna mtu mwenye uwezo wa kukemea jambo hili, siamini kabisa.
Upinzani sio cuf,chadema,tlp,nccr au jina la chama chochote upinzani ni fikra hai hata kikibaki ccm pekee je hakutakuwa na upinzani? Ndio maana huwa najiuliza tu kama wasomi wetu hawawez kuelewa hata hili je wanaelewa nini?
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)

TAARIFA KUHUSU KUSHIKILIWA KWA HALIMA MDEE NA MWENDELEZO WA MANYANYASO KWA WANACHADEMA

Baada ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kumhoji, kumshikilia na kumnyima dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA) Halima Mdee (Mb) Chama kimewaagiza wanasheria wake kuchukua hatua zaidi za kisheria haraka iwezekanavyo, ikiwemo kuandaa na kuwasilisha maombi ya _habeas corpus_ Mahakama Kuu ifikapo Jumatatu, Februari 25, 2019.

Aidha, kupitia taarifa hii, Chama kinalaani na kukemea vikali kitendo hicho cha polisi ambacho ni ukiukwaji wa wazi wa haki za binadamu, ikiwa ni mwendelezo wa vitendo vya jeshi hilo maeneo mbalimbali nchi nzima, kuwatendea wapenzi, wafuasi, wanachama na viongozi wa Chadema kinyume na taratibu za sheria za nchi.
 
Back
Top Bottom