Tetesi: Kuna mkakati wa kukamata angalau kiongozi mmoja wa upinzani kila wiki , imeagizwa wanyimwe dhamana

Tetesi: Kuna mkakati wa kukamata angalau kiongozi mmoja wa upinzani kila wiki , imeagizwa wanyimwe dhamana

Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha
Mtu yeyote anayefikiria kutumia mabavu karne hii ya sasa ajue amefeli. Ni bora tukajitafari na kutumia njia nzuri kujitafutia umaarufu wa kisiasa. Bahati nzuri iliyopo ni kwamba jela zilizopo ni chache kwa hiyo kusema watu watesema. Kwa mwenye busara unawapuuza.
 
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha
hawataweza kushinda
 
Kwa sasa tutasikia wapinzani wengi zaidi wakikamatwa
 
Ok, Lets say wakafunga na kuua wote, je utadhani upinzani utaisha? Tutajenga upinzani wa kimya kimya ambao utakua mbaya sana, watu watalipiza visasi kimya kimya. Sidhani kama CCM wangependa watufikishe huko, siamini kabisa. Siamini kama CCM hakuna mtu mwenye uwezo wa kukemea jambo hili, siamini kabisa.
du sijui mwakani itakuaje kama hali ndo hii

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Upinzani sio cuf,chadema,tlp,nccr au jina la chama chochote upinzani ni fikra hai hata kikibaki ccm pekee je hakutakuwa na upinzani? Ndio maana huwa najiuliza tu kama wasomi wetu hawawez kuelewa hata hili je wanaelewa nini?
Tatizo la wanalumumba wengi walioko huku jf ni watoto wa juzi, ukiwauliza wakueleze kuhusu wabunge waliokuwa wanajulikana kama G55 sidhani hata kama wanawajua na sababu za wao kupewa hilo jina
 
Tii sheria bila shuruti, wapo wabunge wengi wa upinzani hawajawai kuguswa. Tatizo mnavunja sheria mnategemea kunamtu atawaonea huruma. Msiishi kwa mazoea.
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Hii ni taarifa iliyovujishwa na baadhi ya wazalendo waliochoshwa na uonevu wa kishamba , kwamba viongozi hao wa Upinzani wakamatwe ili kuwatisha na kuwavunja moyo , wanyimwe dhamana angalau kwa wiki moja au mbili ili kuwakomoa .

Hii ni amri iliyosambazwa nchi nzima , huku ikidaiwa kuwa chanzo chake ni kufeli kwa Mkakati wa kuwashawishi masikini kukikimbilia kitambulisho cha wamachinga ambacho sasa kimepewa jina jipya la KODI YA KICHWA , inaaminika kwamba kufeli kwa mkakati huo wa kukamua kila masikini Tsh 20,000 kumesababishwa na wanasiasa wa Upinzani wanaonekana kutumia kila nafasi ndogo wanayopata , ikiwemo mitandao ya kijamii kuwaamsha wananchi na kuwaelimisha kuhusu haki zao.

Tutaendelea kuwahabarisha kila ovu wanalopanga kwa kadri wasamalia wema waliojaa uzalendo watakavyokuwa wanavujisha habari zao.

Naomba kuwasilisha
At last they'll shoot him to death

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Tatizo la wanalumumba wengi walioko huku jf ni watoto wa juzi, ukiwauliza wakueleze kuhusu wabunge waliokuwa wanajulikana kama G55 sidhani hata kama wanawajua na sababu za wao kupewa hilo jina
G55 ingekuwepo leo Njelu Kasaka angeuawa
 
Ok, Lets say wakafunga na kuua wote, je utadhani upinzani utaisha? Tutajenga upinzani wa kimya kimya ambao utakua mbaya sana, watu watalipiza visasi kimya kimya. Sidhani kama CCM wangependa watufikishe huko, siamini kabisa. Siamini kama CCM hakuna mtu mwenye uwezo wa kukemea jambo hili, siamini kabisa.

Hata Kenya wakati wa Moi kulikuwa na ukandamizaji mkubwa wa aina hii hii ya kutumia madaraka kuonea wengine. Ndipo Mungiki wakaanzishwa, unatumia madaraka vibaya kumuweka kiongozi au mwanaharakati X ndani wanajua fitina hii imeanzia kwa DC fulani basi siku mbili tatu unakuta familia imekiona cha moto au wewe mwenyewe yanakukuta.
Sasa sijui kama huko ndio wanataka kuwafikisha watu wafanye hivyo ili mioyo yao iridhike
 
Back
Top Bottom