Tetesi: Kuna mkakati wa kukamata angalau kiongozi mmoja wa upinzani kila wiki , imeagizwa wanyimwe dhamana

Vipi kwenye kikao cha mgonjwa Lissu US ulikuwepo? Mbona sikukuona au ulikuwa kazini??
 
Our future may lay beyond our vision.but not completely beyond our control.Some trust their politics connection and today power they have.But we will always trust the power of our Lord our God and saviour Jesus🙏🙏🙏
 
Hitler alitaka angamiza wayahudi! alijmaliza mwenyewe na mpaka leo wayahudi wanapeta🙏🙏Yana Mwisho haya((KULI))
 

Ƴana mwisho haƴa!
 
Kuwaweka wapinzani lupango ni njia ya kuwakomoa wapinzani waliokataa kununuliwa na kitengo cha manunuzi kutoka Lumumba.
 
Kuwaweka wapinzani lupango ni njia ya kuwakomoa wapinzani waliokataa kununuliwa na kitengo cha manunuzi kutoka Lumumba.
Kabisa , lakini siku mbinu hii ikija ku back fire italeta shida kubwa sana
 
Mrundi anataka kusababisha vurugu nchini kwetu! Hapo TISS wametuangusha kwa.kweli!
 
Upinzani sio cuf,chadema,tlp,nccr au jina la chama chochote upinzani ni fikra hai hata kikibaki ccm pekee je hakutakuwa na upinzani? Ndio maana huwa najiuliza tu kama wasomi wetu hawawez kuelewa hata hili je wanaelewa nini?
 
CHAMA CHA DEMOKRASIA NA MAENDELEO (CHADEMA)

TAARIFA KUHUSU KUSHIKILIWA KWA HALIMA MDEE NA MWENDELEZO WA MANYANYASO KWA WANACHADEMA

Baada ya Jeshi la Polisi Mkoa wa Kipolisi Kinondoni kumhoji, kumshikilia na kumnyima dhamana Mwenyekiti wa Baraza la Wanawake wa Chadema (BAWACHA) Halima Mdee (Mb) Chama kimewaagiza wanasheria wake kuchukua hatua zaidi za kisheria haraka iwezekanavyo, ikiwemo kuandaa na kuwasilisha maombi ya _habeas corpus_ Mahakama Kuu ifikapo Jumatatu, Februari 25, 2019.

Aidha, kupitia taarifa hii, Chama kinalaani na kukemea vikali kitendo hicho cha polisi ambacho ni ukiukwaji wa wazi wa haki za binadamu, ikiwa ni mwendelezo wa vitendo vya jeshi hilo maeneo mbalimbali nchi nzima, kuwatendea wapenzi, wafuasi, wanachama na viongozi wa Chadema kinyume na taratibu za sheria za nchi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…