Kuna movie inayotisha zaidi ya 'The Conjuring'?

[emoji1][emoji1]
Mara watu wanapasuliwa vichwa na na magreda Yale ubongo Unaruka huko na huko wazungu sijui wanafikiriaga Nini kutengeneza muvi Kama hizo mi mwenyewe sivutiwi nazo kivile
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]. Umeona eeh.... shida tupu
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwa nafanyaga hivyo na demu wangu, hofu humtanda kama mwizi aluefumaniwa na mali ya wizi
 
NILIWEZA HAYO UTOTONI, SASA HIVI NA BADILI CHANNEL FASTER, SITAKI UJINGA MIMI NA MAZOMBI, MAZOMBI. NAPENDA MOVIE NA SERIES AMBAZO EITHER MAKE ME SAD OR INSPIRE TO FIGHT FOR MY INTENDED GOAL EVEN IF I WILL CRAWL
 
NILIWEZA HAYO UTOTONI, SASA HIVI NA BADILI CHANNEL FASTER, SITAKI UJINGA MIMI NA MAZOMBI, MAZOMBI. NAPENDA MOVIE NA SERIES AMBAZO EITHER MAKE ME SAD OR INSPIRE TO FIGHT FOR MY INTENDED GOAL EVEN IF I WILL CRAWL
Hujasomeka
 
Leta clip hapa za hiyo movie tuone
 
[emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787] Huwa nafanyaga hivyo na demu wangu, hofu humtanda kama mwizi aluefumaniwa na mali ya wizi
Afu vile anaogopa anakung'ang'ania anatamani ajifiche hata kwapani kwako😆😆
 
NILIWEZA HAYO UTOTONI, SASA HIVI NA BADILI CHANNEL FASTER, SITAKI UJINGA MIMI NA MAZOMBI, MAZOMBI. NAPENDA MOVIE NA SERIES AMBAZO EITHER MAKE ME SAD OR INSPIRE TO FIGHT FOR MY INTENDED GOAL EVEN IF I WILL CRAWL
Sawa mkuu horrors sio type yako
 
Kama unajijua huwezi Bora uachane nazo tu mkuu😀
Maana unaweza hata kuzimia ila kwa sisi wengine ni burudani na Wala sio kujitesa.
Sema jaribu tu mkuu siku Moja ucheki hata SAW 7 hivi utest feeling yake😎
hiyo final destination imenishinda mazombi ndio kabisa hapana siwezi
 
Kimsingi unavutiwa na Horror zenye Ghost storyline, tafuta hizi zina story nzuri za Ghostline
1)The Ring
2)Annabele La Creation
3)Extricism kama sikosei
4)Mama

Mtajieni nyengine zenye story za mzimu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…