Tetesi: Kuna mpasuko mitaa ya Ufipa. Ishu ya bandari yatajwa

Habari zilizonifikia kutoka kwenye vyanzo vyangu vinavyoaminika vinadai kuna mpasuko mkubwa kwenye korido za ufipa kwa kile kilichotajwa kuwa baadhi ha makada waandamizi ...
Ila chama hiki kwa mambo ya udini, hapa kijitafakariii. Ukiangalia walivyo alikana siku ile ya mkutano akina tumsifu yule jamaa milele aminaa, kwakweli suala lile liliwauma hhata sisi tusio na milengo yoyote ya imanii
 
Aisee watu wenye black belt or combat skills huwa hawaropoki hovyo, the stay silent and grounded. Attack when needed.
Umeangalia sana movie za kina Jet Lee.... haiko hivyo huku mtaani.
 
Non sense... Hopeless.... Rubish.... Go to sleep....
 
Chawa wa ***** katika ubora wako

KUBWA JINGA.

Sidhani Kama unafamilia mbwa wewe.
Kukutukana sioni hatia yoyote mbwa Koko.

Matako yako.we unaona sawa DUBAI kupewa anachokiomba mamayo.

Kaa mbalimbali na Comment hi juha.
Nipo zangu grosali napata moja Moto kwa machungu.
 
Hakuna kitu kama hicho mpasuko upo CCM.
 
Kunywa kistaarabu.
 
Acha tu mkuu huo ukoo wa panya usambaratike. Mimi nasema siyo tetesi ila dua ya sheikh Mwaipopo imewafyekelea mbali jamaa wa Ufipa.
 
Umeangalia sana movie za kina Jet Lee.... haiko hivyo huku mtaani.

You dont sound descplined. Moja ya vitu muhimu unafundishwa ni nidhamu. Uropoka as if ww tu ndio mwenye black belt? Growup son
 
You dont sound descplined. Moja ya vitu muhimu unafundishwa ni nidhamu. Uropoka as if ww tu ndio mwenye black belt? Growup son
Wewe ndo hauna nidhamu kunijibu kwa kiingereza kwenye mada niliyoandika kwa kiswahili. Ukiwa na wazee kijijini kwenu ndo huwa unawajibu hivyo?
 
This is another crap from mind crippled.

Mleta mada, wahi hospitali, japo magonjwa ya akili huwa hayaponi kwa 100%.
 
Sanduku lipi la kura? Hapa Tanzania hakuna uchaguzi, bali kuna maonesho ya ujinga wa mtu mweusi kwenye box la kura. Hizi propaganda za kizee bado kuna watu mnawauzia?
 


Trash
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…