Kuna mpenzi wangu nilikua nampenda sana (na bado nampenda) ila kanipiga tukio ambalo najiuliza nimsamehe?

We jamaa ni hovyo kabisa, hakupendi alafu bado unajikomba komba kwake yani unapita ofisini kwake unamuachia ten ili aongeze kukudharau?

Mwanamke akikuacha akaenda kwa mwanaume mwingine achana nae kabisa kwani we ndio kimbilio la waliokosa msaada?
 
Endekeza ujinga halafu mwisho ulie kama punda.
 
Anachotaka kufanya ameniomba msamaha anajuta sana. Najua kilicho mrudisha nisababu anashida nimeona nisimlipe mabaya bali ni msamehe na nimsaidie kwenye hili tatizo Lake.
Brother you are so soft. Treat her as the same way she treated broke guys like you.

Msaada uliompa unamtosha sana acha kuwa mwepesi wewe. Umenifanya nimetukana krisimasi hii mapema tu kinyangarakata mkubwa wewe.

Mbona wewooo
 
Dah jamaa siwezi kukutusi maana mijuzi Kuna mwanamke nilikuwaga naenda kuchuja na nlikuwa nampenda coz sio malaya, Sasa juzi nkamuuliza chumba Cha lodge bei gani japo najua ni twenty, si akajikuta wa mjini akanambia 30 nkampa,
Asubuhi nimeamka nkamkopa hela ya Bajaj kwamba ntamrudishia akajichanga akanipa 10 nikasema hii ndo kwa heri ya kuonana.
Sa sijui we unafeli wapi nenda kaague mafundi wapo wengi
 
Akunyimae kunde kakupunguzia mashuzi
 
Huna akili wewe, imeandikwa kwenye Mathayo ishini nao kwa akili.
Wewe umeamua kuishi nae kwa njaa.
 
Kama hii si chai, basi wewe akili yako ina uzuzu.....achana naye.
 
Umekosa option au ni udomo zege? mtu mzima mwenye akili hawezi kabisa kufanya huu ujinga
 
Nakuonea huruma sana huko mbeleni. Aliyekudharau jitahidi sana kumdharau mara mbili yake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…