Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

We muombee apumzike kwa amani
 
 
Asante sana kwa ufafanuzi mzuri, kiukweli bado natamani niweze fanikiwa kuogea naye na nimekua kama sijielewi kabisa kwasababu ya maumivu niliyo nayo ,sijui nifanye nini , naweza ongea na wewe kwa simu kama hautajali?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…