Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

Kuna mtaalamu wa kuongea na wafu?

Acha wapumzike man. Wamemaliza hizi tabu let them rest aisee.

Mi nife hafu mtu anitafute online aisee nitamshushia matusi na vitisho hadi ajiue.

[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]
In africa they still make you work as an ancestor! Dah nimecheka sana
 
Just use your common sense.

Mfu ni Maiti yaani kiumbe ambacho nerves zake zote za mwili mzima zimekufa, moyo umesimama haufanyi kazi yoyote, mifumo yote ya fahamu imekufa permanently...

Nakuambia Mfu hasikii, haoni na hana hisia zozote then unauliza nani kasema???

Una uelewa?

Usifikiri unajua kila kitu
Hata science kuna vitu Haina majibu..
Kuna jamaa alikuwa anajua kuogelea vizuri sana..akaja akapata matatizo ya moyo...akafanyiwa operesheni ya kupandikizwa moyo wa mtu mwingine aliekufa...ghafla akawa hataki kabisa kuogelea na kila akifika baharini anaogopa na kusikia sauti kama anataka kuzama....akaja chunguza ule moyo aliepandikiziwa kumbe wa mtu aliefariki kwenye maji....

Wanasayansi wakaja na Neno jipya
"Sensory memory ' kama sijakosea..
Na bado wanachunguza..Kesi zimekuwa nyingi.....

Usiongee kama unajua kila kitu
 
Usifikiri unajua kila kitu
Hata science kuna vitu Haina majibu..
Kuna jamaa alikuwa anajua kuogelea vizuri sana..akaja akapata matatizo ya moyo...akafanyiwa operesheni ya kupandikizwa moyo wa mtu mwingine aliekufa...ghafla akawa hataki kabisa kuogelea na kila akifika baharini anaogopa na kusikia sauti kama anataka kuzama....akaja chunguza ule moyo aliepandikiziwa kumbe wa mtu aliefariki kwenye maji....

Wanasayansi wakaja na Neno jipya
"Sensory memory ' kama sijakosea..
Na bado wanachunguza..Kesi zimekuwa nyingi.....

Usiongee kama unajua kila kitu
Hakuna hata mmoja anayejua kila kitu, ......I'm not Jack of all trades neither

Mtu mzima mwenye tatizo la moyo akafanyiwa operation na akapandikiziwa moyo wa Mtu aliyekufa then huyo Mtu akaendelea kuwa hai, HAIWEZEKANI KAMWE BROH, labda kama hakuwa amekufa.

Hapo sio suala la kiimani au kisayansi, Mtu akifa na moyo unasimama kufanya kazi permanently. Na mzunguko wa damu unakoma kwenye veins & artery zote

Ili kujustify ulilosema, hebu tuambie hilo tukio lilitokea wapi, lini na aliyekufa anaitwa nani?
 
Hahahaha nimepoteza mpendwa wangu, ninatamani niongee naye angalau mara moja .
Nenda kaburini pake mswalie/salie sala ya kurehemu ukifika nyumbani pika chakula wale watu wasiopungua sita.kisha wape watoto sadaka.Atakuja kukushukuru.
 
Usifikiri unajua kila kitu
Hata science kuna vitu Haina majibu..
Kuna jamaa alikuwa anajua kuogelea vizuri sana..akaja akapata matatizo ya moyo...akafanyiwa operesheni ya kupandikizwa moyo wa mtu mwingine aliekufa...ghafla akawa hataki kabisa kuogelea na kila akifika baharini anaogopa na kusikia sauti kama anataka kuzama....akaja chunguza ule moyo aliepandikiziwa kumbe wa mtu aliefariki kwenye maji....

Wanasayansi wakaja na Neno jipya
"Sensory memory ' kama sijakosea..
Na bado wanachunguza..Kesi zimekuwa nyingi.....

Usiongee kama unajua kila kitu
Mtu akifa moyo wake unaweza kutumika? Hizi reference muwe mnaziverify kama ni sahihi.
 
Wengi wakisikia neno 'demon' wanaogopa sana, Ila ukijaribu kujiuliza spirit flani anaitwa demon under which context...??? Ni kwamba kwa mtu flani huyo spirit atakuwa demon Ila kwa mwingine ni helping spirit. Iyo ni topic nyingine...

Tukirudi kwenye ishu ya kuwasiliana na walioondoka kwenye ulimwengu huu, sikushauri ufanye hivyo na sababu kubwa ni kwamba roho zilizopo kwemye huo mkondo ni sumbufu sana na inahitaji mtu mwenye maarifa ya kutosha kukusaidia kufanya hilo na umakini wa hali ya juu unahitajika kiasi kwamba uki mess up kidogo tu unakuwa umekaribisha series ya matatizo kwenye maisha yako na maranyingine unaweza kujimaliza (kujiua) na wewe kutokana na ushawishi wa hizo roho.

Kwahiyo mkuu just take it easy na amini kuwa amesha kusikia na ameijua nia yako njema na pia ni kwamba anashindwa kukuzuia usifikie kwenye hiyo hatua unayotaka kuichukua kwasababu senses zako hazijafunguka vya kutosha kuweza kuipokea hiyo msg kutoka kwake.

Kuna siku nitaweka thread itakayoelezea maarifa Kama hayo na mengine pia.

I'm out... Take care of yourself mkuu.

Anasikia vizuri sana, mpaka vishindo vya miguu kusogelea kaburi na kuondoka anasikia! Dua na maombi anasikia! Asichoweza kufanya ni kusogea, kuongea, kuvuta pumzi!

Dua/Maombi hata kama anafanyiwa kilometa 1,000 au kilometa 6,000 kutoka alipozikwa yeye, anaambiwa na malaika fulani anakufanyia dua/maombi fulani!

Na kama ulikua hujui, hata pindi watu waliokua hai, aliowaacha hai wakimsahau kumfanyia dua/maombi, huwa anahuzunika sana kwanini amesahauliwa!! Na kwa waislamu ndio maana huwa na ratiba kila baada ya muda fulani (Miezi au kila mwaka/miaka) huwafanyia dua/maombi wapendwa wao waliotangulia mbele ya haki (Utaskia; Juzi tulifanya khitma ya wazee wetu au wapendwa wetu waliotangulia mbele ya haki, tulijisahau miaka bana)!!
Wewe haya umejuaje wakati hujawahi kufa???
 
Akipatikana unitonye, nimechoka na uwongo wa hizi dini, nataka aniunganishe na mzima ambao utaniunganisha na Mungu wa kweli.
 
Je, kuna mtaalamu yupi aliye Dar anaweza ongea na wapendwa waliotangulia mbele za haki?
Wafu hawana mawasiliano na watu baki bali ndugu wa karibu tena kwa uchaguzi wao binafsi na kwa njia ya ndoto ama ujumbe wenye tafsiri kificho
 
Back
Top Bottom