Kuna mtu alishawahi kumiliki Mini Cooper?

Kuna mtu alishawahi kumiliki Mini Cooper?

Min coper shida yake kubwa ni upande wa gear box yake inatumia DSG , ambayo ni moja kati ya gearbox ghali zaidi duniani lakini pia ipo sensitive sana na uwekaji wa oil isiyo sahihi.

Lakini pia wengi wanakosea sana upande wa service namna ya kufanya hapo ndipomakosa huanzia ..... Nimehudhuria work shop ya BMW , ujerumani watengenezaji wanasisitiza unapotaka kununua hakikisha ambayo haina km nyingi.

Hii itakufanya kuepuka matatizo yasiyo ya lazima
Earlier models R50/53 zina CVT transmission
 
Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
 
Leo nimeamka na hili gari kichwani.

Nafuatilia reviews youtube hasa Mini Cooper Countryman.

Kama kuna mtu alishawahi miliki au kuendesha hili gari njoo tuchat.

nilishawahi kutaka kununua, actually ulaya hizi gari ni nyingi sana hasa kwa wabahili wa wese. jamaa mmoja hapahapa jf akacomment at magari hayo ni ya mashoga. tangu siku hiyo nikikutana nacho hata barabarani sitaki hata kuviona.
 
Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Fundi katia shoti ya pilii, usikute hata hiyo ya range aliharibu yeye
 
Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Sasa kweli kabisa gari yako ya Kijerumani unapeleka kwa fundi ambae hata hajui ATF huwa zinatofauti unategemea nini? Haya magari utunzaji unaanzia kwa mmiliki.
 
Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Duuuuuuuuu hatari ya mwaka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
 
Sasa kweli kabisa gari yako ya Kijerumani unapeleka kwa fundi ambae hata hajui ATF huwa zinatofauti unategemea nini? Haya magari utunzaji unaanzia kwa mmiliki.
Ile nadhani ni CVT akaweka AT...hapo huwezi mlaumu mjerumani.
 
Back
Top Bottom