High Vampire
JF-Expert Member
- Nov 17, 2012
- 2,915
- 2,134
Hatari sana.Ni nzuri sana ila spare zake ni kichefuchefu,, fuel pump yake tu ni 1.2m!
Wapi?Min copper ushuru wake ni 8milioni Tena Ile ya mwaka 2015 ni nzuri sana
Earlier models R50/53 zina CVT transmissionMin coper shida yake kubwa ni upande wa gear box yake inatumia DSG , ambayo ni moja kati ya gearbox ghali zaidi duniani lakini pia ipo sensitive sana na uwekaji wa oil isiyo sahihi.
Lakini pia wengi wanakosea sana upande wa service namna ya kufanya hapo ndipomakosa huanzia ..... Nimehudhuria work shop ya BMW , ujerumani watengenezaji wanasisitiza unapotaka kununua hakikisha ambayo haina km nyingi.
Hii itakufanya kuepuka matatizo yasiyo ya lazima
Kama ya 2015 itakuwa na matatizo kama Yale ya kizazi Cha kwanza kweli maana imekaa kibabe kuliko istEarlier models R50/53 zina CVT transmission
Tatizo mtu ananunua gari ya 2004 leo halafu anategemea iwe kama mpya.Kama ya 2015 itakuwa na matatizo kama Yale ya kizazi Cha kwanza kweli maana imekaa kibabe kuliko ist
Sent using Jamii Forums mobile app
Gari ya 2004 kama mpya utaipata maeneo ya Nagoya tu ama Yokohama.Tatizo mtu ananunua gari ya 2004 leo halafu anategemea iwe kama mpya.
Utaipata kampuni ya toyota na sio kampuni zingine au?Gari ya 2004 kama mpya utaipata maeneo ya Nagoya tu ama Yokohama.
Daah.....hebu andika kiswahili pleaseMsiogope kumiliki mini cooper. Spear parts zipo za kumwaga
nilishawahi kutaka kununua, actually ulaya hizi gari ni nyingi sana hasa kwa wabahili wa wese. jamaa mmoja hapahapa jf akacomment at magari hayo ni ya mashoga. tangu siku hiyo nikikutana nacho hata barabarani sitaki hata kuviona.Leo nimeamka na hili gari kichwani.
Nafuatilia reviews youtube hasa Mini Cooper Countryman.
Kama kuna mtu alishawahi miliki au kuendesha hili gari njoo tuchat.
Fundi katia shoti ya pilii, usikute hata hiyo ya range aliharibu yeyeKuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Sasa kweli kabisa gari yako ya Kijerumani unapeleka kwa fundi ambae hata hajui ATF huwa zinatofauti unategemea nini? Haya magari utunzaji unaanzia kwa mmiliki.Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Duuuuuuuuu hatari ya mwaka[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Kuna jamaa alikuwa ana range na hii mini Cooper. Range sijui ikapata shida gani kwenye transmission ikapaki maana gharama ilikuwa juu kuitengeneza, Alitakiwa kureplace gearbox yote. Akaona isiwe tabu gari likapaki hapo hapo garage huku akijipanga. Akachukua minicooper, akampa fundi afanye na service kubwa kabisa. Fundi abdala blindly akaweka hydrolic ya ist. Ss na minicooper imepaki pembeni ya range.
Ndo Kaingizwa hasara tayari.Sasa kweli kabisa gari yako ya Kijerumani unapeleka kwa fundi ambae hata hajui ATF huwa zinatofauti unategemea nini? Haya magari utunzaji unaanzia kwa mmiliki.
Ile nadhani ni CVT akaweka AT...hapo huwezi mlaumu mjerumani.Sasa kweli kabisa gari yako ya Kijerumani unapeleka kwa fundi ambae hata hajui ATF huwa zinatofauti unategemea nini? Haya magari utunzaji unaanzia kwa mmiliki.
Na hata ukimfunga haisaidiišFundi katia shoti ya pilii, usikute hata hiyo ya range aliharibu yeye