Comment ya mtu mmoja inabadili preference zako? Are you sane?nilishawahi kutaka kununua, actually ulaya hizi gari ni nyingi sana hasa kwa wabahili wa wese. jamaa mmoja hapahapa jf akacomment at magari hayo ni ya mashoga. tangu siku hiyo nikikutana nacho hata barabarani sitaki hata kuviona.
Shida tupuu, dahNa hata ukimfunga haisaidii[emoji3]
mkuu, nenda tu kanonoa cooper. pia endelea tu kusikiliza nyimbo zao. hakuna mtu amekufunga mikono.Comment ya mtu mmoja inabadili preference zako? Are you sane?
Hakuna sehemu kuna manifesto inayosema hizo gari ni za mashoga.
Na hao mashoga wanatumia bidhaa tunazotumia, simu, magari n.k.
Na mbona kuna nyimbo za mashoga mnazisikiliza?
Comment ya mtu mmoja inabadili preference zako? Are you sane?
Hakuna sehemu kuna manifesto inayosema hizo gari ni za mashoga.
Na hao mashoga wanatumia bidhaa tunazotumia, simu, magari n.k.
Na mbona kuna nyimbo za mashoga mnazisikiliza?
mkuu, nenda tu kanonoa cooper. pia endelea tu kusikiliza nyimbo zao. hakuna mtu amekufunga mikono.
Sahihi kabisa Bora kununua min cooper kuliko istComment nyingine ni za kuvumilia tu kwa sababu kila mtu ana uhuru wa kuchagua anachotaka ila tusipotoshe wengine kwenye facts. Sijwahi kusikia gari fulani zinatengenezwa kwa ajili ya mashoga, na siyo issue ya kusikia pekee ila HAKUNA kitu kama hicho, ni FACT. Zipo accessories kwa ajili ya mashoga ila si models maalum
Nasikiaga hii ikiwa batmrabaran akin pado tx,landcruser vx hawatii mguu kwa speed je ni kweli??