Kuna mtu anawaza eti " Hivi timu Mwendazake wakiungana na Chadema hawa Boyz II Men si sawa na karatasi"

Kuna mtu anawaza eti " Hivi timu Mwendazake wakiungana na Chadema hawa Boyz II Men si sawa na karatasi"

Lakini unasahau kwamba chadema ni Team boys 2 men, hivyo haiwezekani!
 
Unaonekana unapitwa na mambo mengi
Huenda wewe ndo hujaelewa hukumu ya rufaa iliyotoka leo. Ameshinda rufaa ila bado yumo ndani ananyia ndoo akisubiri hatma ya kesi yake ya uhujumu uchumi ambayo haina dhamana. Kwa hiyo bado yumo lupango!!!
 
Back
Top Bottom