Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hakuna loloteUkweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
Amka usingizini usije ukakojoa kitandaniUkweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
Kifo chake ni big loss kwa taifa, bado napata wakati mgumu sana kuamini tutakuja kupata rais kama jpm. He was different. Naona marais kama yeye kwa africa ni kagame, alikywepi ghadaffi sijui wengineUkweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
Unaweza kuta na wewe ni baba wa familiaNdiyo jpm alikuwa anafanya mambo kwa kukurupuka.....hawa wengine hawakurupuki, vipi una swali lingine mleta mada
JPM alikuwa Rais Bora mno, basi tu 😭😭😭Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
Alikuwa bora Rais.JPM alikuwa Rais Bora mno, basi tu 😭😭😭
Sawa, wewe ni Bora kengeAlikuwa bora Rais.
Kama Tanzania ilianza mwaka 2015, unachosema ni kweli. Na Kama unaowalenga ni wale waliozaliwa mwaka 1990 kuja mbele uko sawa.Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
.Kama Tanzania ilianza mwaka 2015, unachosema ni kweli. Na Kama unaowalenga ni wale waliozaliwa mwaka 1990 kuja mbele uko sawa.
Lakini ukihusisha na kizazi kilichokuwapo kuanzia mkoloni hadi 1980s basi ulichoandika ni UPUMBAVU tu.
Kuna watu walifanya makubwa bila kuua watu na kupeleka maendeleo nchi nzima bila upendeleo
Mfateni aliko.Ukweli ni kwamba JPM alikuwa anaipenda hii nchi na Ndoto yake ilikuwa na kuifanya Tanzania kama Ulaya.
Bado tunahitaji Rais kama JPM.
Mungu ibariki Tanzania.
Na kamwe hatutoruhusu tena washamba kama yuleNlitaman vijana aliokuwa anawapika akina polepile waje kupokea kijiti, ila ndo hivo tena ile cream yote imepukutishwa
Yawezekana alizaliwa 90'sKama Tanzania ilianza mwaka 2015, unachosema ni kweli. Na Kama unaowalenga ni wale waliozaliwa mwaka 1990 kuja mbele uko sawa.
Lakini ukihusisha na kizazi kilichokuwapo kuanzia mkoloni hadi 1980s basi ulichoandika ni UPUMBAVU tu.
Kuna watu walifanya makubwa bila kuua watu na kupeleka maendeleo nchi nzima bila upendeleo