Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Unique Flower

JF-Expert Member
Joined
Apr 19, 2019
Posts
12,838
Reaction score
25,282
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu.
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.

Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini

Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .

Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.
 
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu mkorofi .
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.

Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini

Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .

Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.

Uzi tayari
 
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu mkorofi .
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.

Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini

Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .

Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.
Mungu mkorofi ni yupi huyo?
 
Basi sawa
IMG-20190624-WA0038.jpg
 
Back
Top Bottom