Unique Flower
JF-Expert Member
- Apr 19, 2019
- 12,838
- 25,282
- Thread starter
- #41
Jamani sawa bwanaAkili anayo. Sema qlienda kwenye umbea akaisahau ndo bado anaitafuta. Akiipata mbona fresh
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jamani sawa bwanaAkili anayo. Sema qlienda kwenye umbea akaisahau ndo bado anaitafuta. Akiipata mbona fresh
Nimeambiwa tu nitoe post sasa sijajua huyo alikuwa anamaana gani hajasema niseme mume wa type ipiHapo mwisho mbona hujasema unatafuta mume wa aina gani ili vigezo na masharti vizingatiwe
Wewe haupo lonely ngoja nikueleze jamboo ujue .Signs and Symptoms of Chronic Loneliness | Cigna Healthcare
Chronic loneliness is when feelings of loneliness continue long-term. Learn about the symptoms of chronic loneliness and discover tips to help you cope.www.cigna.com
Wewe unayo ??30+afu akili huna!
Get a restWewe haupo lonely ngoja nikueleze jamboo ujue .
Kuwa single kwa mwanamke ningumu ila kama hauna mtu anayekushawishi huwezi kujiweka kwa watu ambao hawana future maisha yanaenda huwezi kuwaza dudu masaa yote.
Wewe get ripGet a rest
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu.
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.
Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini
Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .
Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.