Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Kuna mtu kasema niandike huu uzi

Automatic ukiwa mmbeya lazima utakuwa mchonganishi na msengenyaji hiyo ni mizizi ya dhambi sasa bible unasoma ya nini?
 

images - 2022-09-27T222537.980.jpeg
 
Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu mkorofi .
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.

Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini

Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .

Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.
Eti unamiaka mingapi bibie? 30+ ndo nini?
 
Back
Top Bottom