Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hofu ya Mungu mkorofi.mmbeya na kumpenda Mungu ?
Upo dogo akeeKhakhakhaaaa!! Ujanaaa ujana sis!!
Nipoo sis miss youu😘😘Upo dogo akee
Miss you dear,Nipoo sis miss youu😘😘
Unapiga mapambio ya kumsifu Mungu halafu unajijua ni mbea?Haujawahi kuimba matusi kweli?Mungu apishilie mbali
Oya mwamba comment zako huwa zinafurahishaga sana, kabla sijasoma huwa nacheka kwanza sijui unawazaga nini😂😂
mmbeya na kumpenda Mungu ?
Uandishi wake huwa kuna kipindi kama kavurugwa.Kapewa homework ili tuchunguze kama punctuation yupo asilimia ngapi.Kwa ufupi yupo mazoezi kwa vitendo.Si mngemalizana tu huko pm? Au kunatatizo tuitishe ulinzi
Haki nimecheka mkp mtu kaamkaHahahaha haya dada mbea, unayemsifu Mungu, lakini uzuri wake umbea ni ukweli usiotakiwa kujulikana
Nimechekaaa had nimeamsha watu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unapiga mapambio ya kumsifu Mungu halafu unajijua ni mbea?Haujawahi kuimba matusi kweli?Mungu apishilie mbali.
Eti unamiaka mingapi bibie? 30+ ndo nini?Sifa za unique flower,
Nahofu ya Mungu mkorofi .
Namiaka 30+years old .
Mkoa niliopo sijui napia kazi yangu ni umbeya.
Napenda kuogelea , navitu ambavyo ni vizuri.
Napenda kusali, kusoma biblia na kuimba nyimbo za sifa .mf za dini
Kuangalia filamu ,vichekesho na kujua vitu vipya .
Haya nimekujibu hadharani ulivyotaka niviseme.
Umejuaje??Uzi tayari
Usiweke kila kitu akilini eti mie mwenzako najifurahishaEti unamiaka mingapi bibie? 30+ ndo nini?