Nyoka_mzee
JF-Expert Member
- Nov 26, 2016
- 3,695
- 5,531
kwani ujui mapenzi ni upofu ?Kwa hyo unapenda mwandiko wake au avatar yake yani umenichanganya ujue inakuwaje unampenda my huijui sura yake wala sauti yake nisaidie hapo ili nipate kujua
Hehehehahahhhahhh chizi ww
jirani nakuona nakuona [emoji1] [emoji1] [emoji1] unam'bebesha mtu mabomu alafu ww unakimbilia kwenye kichaka kujifichaMwambie km akikuelewa maisha ysnaendelea....unaenda kurina asali mbichii...
halaf ukizingatia jf yenyewe kila mtu ana avatar fake na id unaogopa nn kujipa rahaHaya maisha ya baba jesca hayaitaji kuishi kinyonge ....Ni mwendo wa kujilipuwa tu liwalo na liwe maana mtu una F ya maisha uje tena kwenye mapenzi nako F hivi unafkiri lini utakuja kuibalance combi ya maisha ,[emoji1] [emoji1] [emoji1] [emoji1]
Lost again [emoji12] [emoji12] [emoji12]Basi atakuwa Antonio de Guzman
Kama mi nikiona comment ya shunie hogo linasimamahalaf ukizingatia jf yenyewe kila mtu ana avatar fake na id unaogopa nn kujipa raha
mtaje tu ufurahishe nafsi yako
Haijawahi nitokea maishani...natamani mmoja aje nisemesha hata kama ni kwa masihala...siamini kama ipo!!!Usione soo sema naye, sikuhizi hata KE tunatongozaga mwanawane.
mmh AntonioKama mi nikiona comment ya shunie hogo linasimama
halaf awe tofaut na alivyomdhania [emoji23]Comments moyo unashtuka
Ukimuona mwenyewe utazimia
kwanza kukataliwa kwenyewe sunnah alafu uyu kapata bahati watu tutampigia debe umu [emoji12] [emoji12] [emoji12]halaf ukizingatia jf yenyewe kila mtu ana avatar fake na id unaogopa nn kujipa raha
mtaje tu ufurahishe nafsi yako
hahahaha dah umenichekesha wala sikutegemea kama ungekuja na hiliComments moyo unashtuka
Ukimuona mwenyewe utazimia
Nini shuniemmh Antonio
Tehe tehe tehe hapo ndipo atakapozimia na kutoamka tenahalaf awe tofaut na alivyomdhania [emoji23]
Maombi niliyopiga safari hii... Bashite hachomoki wallah. Lazima arudishe vyeti vya watuHuwa ana kawaida ya mgomo huenda ikawa kagomea kule mlimani hataki kushuka eti anamsubiri Bashite.
Hahahaaaa.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Tehe tehe tehe hapo ndipo atakapozimia na kutoamka tena
Ila bora umeshuka aisee angalau upumzishe akili kidogoMaombi niliyopiga safari hii... Bashite hachomoki wallah. Lazima arudishe vyeti vya watu