Kuna mtu nampenda humu

Kuna mtu nampenda humu

Ahaaa, jion na mm nafunguka humu, kam mbwai mbwai tuu
 
Hahaaa! Kuna ule wa kwenda mlimani kwenye maombi ndio ulifika na nikakubali kweli ila huo mwingine mmh bado.

Ila ataufikisha usijali.

Ha ha ha, Numbisa! ule wa mlimani wa kuja na baiskeli ni lazima aufikishe kwa sababu una maslahi kwake.
Namuona anapita pita analike, nasubiri nisikie ataniambia nini juu ya kutofikisha ujumbe wangu kwako.
 
Humu kuna watu ni wanawake ila wametumia majina ya kiume, kuwa makini.

Kuna mtu namjua ni mwanaume haswaaa ila jina anatumia la kike comment zake za kike na watu wanamtambua kama mwanamke sijui aonagi aibu?

Hope kuna watu mnamjua ni yule alokua anatumia id fulani zamani akaja badilisha.
hivi anapata faida gan
 
Ha ha ha, Numbisa! ule wa mlimani wa kuja na baiskeli ni lazima aufikishe kwa sababu una maslahi kwake.
Namuona anapita pita analike, nasubiri nisikie ataniambia nini juu ya kutofikisha ujumbe wangu kwako.
Hatuna budi kumsubiri aisee huenda ikawa ana sababu nzito na yenye faida iliyomfanya asite kuufikisha
 
Back
Top Bottom