Amun Ra
JF-Expert Member
- Jul 30, 2021
- 4,713
- 7,218
ishu umekufaje?Kila mtu atakufa...!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
ishu umekufaje?Kila mtu atakufa...!
Nakataa kabisa..!! Sina nililolifanya ambalo limekusababisha wewe kuandika uzi huu..!!Basi utaondoka mazima Wewe vipi na hapa bado utabisha / utakataa?
Unataka tukuone nabii wakati muhusika alikwisha sema kuna watu wanataka kumkolimba.Akimaliza huu mwaka atakuwa na ana bahati sana, ila nina uhakika kwa mwaka 2025 tunaweza tusiwe nae mazima Ok?
Bahiri za kizwazwa/zuzu, mazuzu ndo wanabashiri za namna hii likitokea lolote utasikia nilisema.Ulivyoiweka kama siri kubwa, akifa yeyote yule utajidai uliyasema kabla. If you are sure, mtaje..!!
Ni dalili tukuka za Mtu anayekaribia Kufa / Kuuwawa. Tunza hii Post yanugu na huu Uzi wangu mtakuja Kuukumbuka hapa.Sasahiv naona ndiyo kazidisha kuropoka.
Nitawadharau maishani mwangu Wananchi wa Jimbo lolote lile ambao watampa Ubunge huo huyu Lumpen Proletariat.Mwenyewe ajipanga kwa u MP then u PM,kupitia jimbo Kuu la mkoa anao ongoza
Mkuu wananchi wanaweza wasimpe lakini akapewa, Kule ni ukweni piaNitawadharau maishani mwangu Wananchi wa Jimbo lolote lile ambao watampa Ubunge huo huyu Lumpen Proletariat.