Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Kuna sehem tumekutana kwenye mada ya dyudyu akaniambia atakukataza ww usinifate nitakuharibu nikamwambia Babu ungekua na kimbilimbi sakayo angeshakuacha ndio hapo tulipoanzia
Mmmmmh
Ni wapi huko mlikutana na story za madyudyu
 
Habari za weekend wana jf
Mwenzenu kuna MTU nimemzimia humu jf
Nikiona thread yake tu mapigo ya moyo yanabadilika, basi nitairudia kuisoma hiyo thread yani najiona ka Niko nae
Nilifikilia kumfuata pm but baadae nikaogopa nikaona anaweza akanuna akaja kunianika
Huku
Nifanye ñn?
Mwambie si hatukataagi utamu
 
Back
Top Bottom