Kuna mtu nimemzimikia

Kuna mtu nimemzimikia

Najua wapi nimekuta mnazungumza na mm nimetajwa nimeuliza
Ni hivi.
Huyu mleta uzi alituambia tuachane na hili kaburi, mimi nikamuambia tuachie sisi tuendelee kulienzi maana wengine kama mimi sijawahi kuzimikiwa.

Manga ndio akaja akaniambia ni kweli hili kaburi tuliachiwa na mwenye ushahidi ni Shunie, halafu nikamwambia nitamuuliza ili nithibitishe
 
Ni hivi.
Huyu mleta uzi alituambia tuachane na hili kaburi, mimi nikamuambia tuachie sisi tuendelee kulienzi maana wengine kama mimi sijawahi kuzimikiwa.

Manga ndio akaja akaniambia ni kweli hili kaburi tuliachiwa na mwenye ushahidi ni Shunie, halafu nikamwambia nitamuuliza ili nithibitishe
Umeongea vyema kabisa
 
Ni hivi.
Huyu mleta uzi alituambia tuachane na hili kaburi, mimi nikamuambia tuachie sisi tuendelee kulienzi maana wengine kama mimi sijawahi kuzimikiwa.

Manga ndio akaja akaniambia ni kweli hili kaburi tuliachiwa na mwenye ushahidi ni Shunie, halafu nikamwambia nitamuuliza ili nithibitishe
Ni kweli huu uzi alituachia husna bada ya kumpata anayemzimikia teh
 
Back
Top Bottom