Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

GENTAMYCINE

JF-Expert Member
Joined
Jul 13, 2013
Posts
60,660
Reaction score
121,325
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
 
Kumbuka tu kwamba ahata wakati wa Hayati JPM kulikuwa na walio unga mkono na walio pinga. Hata sasa walio unga mkono kipindi kile lazima wapinge kwa sasa na wale waliopinga wanaweza kuchagua kuendelea kupinga ama kuunga.

Hawakufa na Hayati.

Cha msingi mama asibomoe sana. Achukua mazuri ya Hayati kama vile uchapa kazi na kuisimamia serikali vizuri afu alete wawekezaji wa kutosha.
 
Wanao mnanga ni Sukuma gang
Ccm kwa Ccm
Mwenzako katumia muda wake ili aje na analysis ya maana wewe unaibuka na matope.

Nani asiyejua CHADEMA mnatafuta pa kushika mmepoteana,maana makelele yenu yalikuwa udikteta wa Mwendazake,sasa alikwenda na udikteta wake.

Sasa amekuja mama mpole kama hua mnahaha namna ya kumfitinisha na wapiga kura wake,maana hamna ajenda tena ya ufisadi nayo iliwashinda.

siyo lazima mfanye siasa hata kama imewashinda.
 
Jana usiku kuna moja ya maskani ya draft hapa dar nilikuwa nimetulia nikitizama mtanange wa draft na alikuwepo goli kipa mkongwe mpenda draft tukitizama draft na story za hapa na pale


Ghafla watu watatu kwa lafudhi ni sukuma gang wakaanza kueleza umuhimu wa hayati na kumpa sifa kedekede na zingine sifa mbaya japo wao waliona nzuri Kama kumteka bosi wa klabu pendwa kuchukua maehamba nk walitoa sifa kibao mara ghafla wakaanza kumzodoa mama kwa kauli mbalimbali huku wakisapotiana kwa lafudhi ya Kanda pendwa Tena wakiponda haswa mara ghafla kukaanza ugomvi Kuna mvumilivu mmoja alishindwa kuvumilia kukaanza ubishi na kupandishiana kauli


Hawa jamaa hawaamini Kama hayati keshaondoka hawaamini kabisa na wanaeneza propaganda mpk vijiweni na ni sura ngeni ngeni ..
 
mada yako iko poa.

ni uwendazimu kujaribu kuwaridhisha watanzania wote.

ila mkuu huwezi kuandika mada zako bila kuweka mabano,vifungua na vifunga semi!

kama hautojali ebu rekebisha hapo.
 
Wanao mnanga ni Sukuma gang
Ccm kwa Ccm
With due respect, tofautisha kati ya hao mnaowaita Sukuma Gang na CCM!!

Hilo kundi la kwanza sio CCM kwa maana ya wafuasi wa chama bali walikuwa Wafuasi wa Mtu... wafuasi wa Mwendazake!!

Kundi hilo wala hawajali kuona CCM ikiparaganyika kwa sababu hawana uchungu wowote na chama au ufuasi kwa chama!! Na amini usiamini, wangefurahi sana kuona CCM na Serikali yake ikivurugika na kusambaratika wakati huu ili waendelee kuaminisha watu na kuimba kwamba "enzi za Shujaa haya yasingetokea"!!

Mwana-CCM wa kweli, mwenye ufuasi wa CCM hawezi kumtakia mabaya Rais anayetokana na CCM!! Na hata ukiwasoma, ni rahisi sana kuona tofauti kati ya hao wa kundi la kwanza, na Wafuasi wa CCM!!!

To be honest, I hate the name Sukuma Gang, ingawaje nafahamu wapo miongoni mwao ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu kutoka kwa Mwendazake huku wakifanya hivyo kwa kusukumwa na ukabila!!!
 
Usijumlishe watanzania wote, sema CCM wale wafia MTU (Shujaa) ndiyo kwa sasa wanapinga uongozi wa Mama. Hawa wao hawakulalamika kuhusu mzunguko wa pesa kuwa mgumu, walisifia ugumu wa maisha na kila mlalamikaji kwao aliitwa MPIGA DILI.

Bado hawataki kuamini kuwa Shujaa kafa.
 
Usijumlishe watanzania wote, sema CCM wale wafia MTU (Shujaa) ndiyo kwa sasa wanapinga uongozi wa Mama. Hawa wao hawakulalamika kuhusu mzunguko wa pesa kuwa mgumu, walisifia ugumu wa maisha na kila mlalamikaji kwao aliitwa MPIGA DILI.

Bado hawataki kuamini kuwa Shujaa kafa.
Natunza ili bandiko lako, watakapoanza kupinga Mwenyekiti na Naibu wake nawe ndo utapinga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Huo mlinganisho wako na majirani unaniambia kuwa hujui usemalo. Hali halisi kwa hawo jirani "zetu" ni kwamba wanatuogopa sana, hawajui tutafanya lipi wakifanya vipi huku wakijua fika salama yetu ndiyo salama yao. Umemsikia Spika (wa Kenya, si Ndugai) jana ameapishwa kuwa mkuu wa Wakikuyu, wametambika na kuchinja mnyama wa damu, wakaleta koo za Gikuyu clans zote mlima Kenya kama enzi za MAUMAU? Hivi, unajua MAUMAU? Na Rais Uganda ni mwaka wa ngapi huu? Na wa Rwanda je? Na Ethiopia na Burundi unajua hata majina yao? South Sudan je? South Africa tuliwakomboa, wakaiga enders yetu na wimbo wa taifa unajua hilo? Kwa sasa apartheid inawatafunam unamjua Lucas Malema anataka Wazungu wanyanganywe mashamba yao na magorofa ya Sandton? Na Zimbabwe, una habari kuwa zarafu yao ZimDollar bei ya Coca-Cola ni Zi Dollar laki 8?

My friend, kama ni kudharau Watanzania ni wewe tu ndiye unayetudharau, hawo majirani "zako" hawana ubavu wa kutudharau, hata Trump na Angela Merkel hawana. Shukuru Mungu wako uko Tanzania nji ya amani, huko kwingine wala usiombe. Hapa sanasana ni matusi ya tundulissu na porojo za zittokabwe. KAZI INAENDELEA
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
umeongea fact mkuu,,hii nchi ina watu wanafiki sana,,

Washazoea utawala wa dikteta magufuli
 
Kumbuka tu kwamba ahata wakati wa Hayati JPM kulikuwa na walio unga mkono na walio pinga. Hata sasa walio unga mkono kipindi kile lazima wapinge kwa sasa na wale waliopinga wanaweza kuchagua kuendelea kupinga ama kuunga.

Hawakufa na Hayati.

Cha msingi mama asibomoe sana. Achukua mazuri ya Hayati kama vile uchapa kazi na kuisimamia serikali vizuri afu alete wawekezaji wa kutosha.
Hayati Hana zuri lolote zaidi ya ushetani wake na udikteta ,,wanaomuunga mkono Hayati wengi ni mazuzu wasiojitambua na wasukuma wenzie
 
Huo mlinganisho wako na majirani unaniambia kuwa hujui usemalo. Hali halisi kwa hawo jirani "zetu" ni kwamba wanatuogopa sana, hawajui tutafanya lipi wakifanya vipi huku wakijua fika salama yetu ndiyo salama yao. Umemsikia Spika (wa Kenya, si Ndugai) jana ameapishwa kuwa mkuu wa Wakikuyu, wametambika na kuchinja mnyama wa damu, wakaleta koo za Gikuyu clans zote mlima Kenya kama enzi za MAUMAU? Hivi, unajua MAUMAU? Na Rais Uganda ni mwaka wa ngapi huu? Na wa Rwanda je? Na Ethiopia na Burundi unajua hata majina yao? South Sudan je? South Africa tuliwakomboa, wakaiga enders yetu na wimbo wa taifa unajua hilo? Kwa sasa apartheid inawatafunam unamjua Lucas Malema anataka Wazungu wanyanganywe mashamba yao na magorofa ya Sandton? Na Zimbabwe, una habari kuwa zarafu yao ZimDollar bei ya Coca-Cola ni Zi Dollar laki 8?

My friend, kama ni kudharau Watanzania ni wewe tu ndiye unayetudharau, hawo majirani "zako" hawana ubavu wa kutudharau, hata Trump na Angela Merkel hawana. Shukuru Mungu wako uko Tanzania nji ya amani, huko kwingine wala usiombe. Hapa sanasana ni matusi ya tundulissu na porojo za zittokabwe. KAZI INAENDELEA
Absolutely Rubbish..!!!
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Hapa kwetu TZ tuna wasomi wengi wenye viwango vya PHD ya MAJUNGU na FITINA.
hivyo usishangae sana hao ndio wengi zaidi na wamejaa kila idara.

na ukitaka kuwafahamu vizuri utawaona wazungumzaji zaidi kuliko matendo, wanapenda kuchonga sana maneno kuliko kutenda kazi.

halafu wanakuwa mstari wa mbele kukipendekeza na kujichekesha ilimradi tu wapate vyeo vya kupiga pesa na kujinufaisha wao.

Tulio baki tuna muomba Mhe. Rais kamwe asikubali kubabaishwa wala kuyumbishwa na Maneno ya wapika majungu na fitina, abaki kwenye msimamo wake, sisi wazalendo wa kweli tunaona malengo mema na yeyenye tija kwa watanzania.

Tunaona kwa jitihada za Mhe. Rais tunaona wafanya biashara wakubwa kama Alhaji Dangote kalainika na ninaamini soon atawekeza zaidi.
ahsante Rais wetu
 
Back
Top Bottom