Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

Kuna muda huwa siwaelewi Watanzania na huenda ndiyo maana baadhi ya Mataifa jirani na makubwa yanatudharau bila Sisi kujijua

Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
So if you want to be better — like I know all of us do — one of the best ways is to do that is to make sure you're surrounding yourself with exceptional people.
 
Mkuu wangu mbona maneno makali sana Kaka ?!!!!

Mbona kila Rais anaungwa mkono na kupingwa na hata watu wa atokako Kaka ?!!!

Kila zama ina "approach yake" na Zama ya awamu ya 5 yako mazuri mno na CHANGAMOTO pia....Zama hii ya 6 itakuwa na mazuri yake na pia CHANGAMOTO pia mkuu!!!
Nyie mteteeni aliyetangulia, sisi tupo pamoja na alie hai mwenye utu
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri

Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.
_'
hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Ukiona hivyo ina maana tuko sawa kabisa. Unafiki ni pale unapoona wasomi na wasiosoma, wachungaji na wasiokuwa na dini, matajiri wakubwa na maskini, wapinzani na wanachama wa chama tawala eti wote wapo kwenye chama kimoja na wanakubaliana kwa asilimia mia moja kwa kila jambo.
 
Basi sukuma gang ina nguvu na ni kubwa mno.Kila anayemkosoa mama ni Sukuma gang, Kwa haraka haraka huyu mama ni malaika na hakupaswa kukosolewa.
Limewaganda ndio mkome kudandia treni kwa mbele
Mkwere anawasanifu kwa mbali na fulana maandishi yenye matumaini
 
Jana usiku kuna moja ya maskani ya draft hapa dar nilikuwa nimetulia nikitizama mtanange wa draft na alikuwepo goli kipa mkongwe mpenda draft tukitizama draft na story za hapa na pale


Ghafla watu watatu kwa lafudhi ni sukuma gang wakaanza kueleza umuhimu wa hayati na kumpa sifa kedekede na zingine sifa mbaya japo wao waliona nzuri Kama kumteka bosi wa klabu pendwa kuchukua maehamba nk walitoa sifa kibao mara ghafla wakaanza kumzodoa mama kwa kauli mbalimbali huku wakisapotiana kwa lafudhi ya Kanda pendwa Tena wakiponda haswa mara ghafla kukaanza ugomvi Kuna mvumilivu mmoja alishindwa kuvumilia kukaanza ubishi na kupandishiana kauli


Hawa jamaa hawaamini Kama hayati keshaondoka hawaamini kabisa na wanaeneza propaganda mpk vijiweni na ni sura ngeni ngeni ..
Hata kigogo haamin kama kashaondoka maana siasa zoote za mnaowaita sukuma gang zinamhusu yeye. Kama huamin kamuulize kigogo anamuwaza nan saiz kama syo kidume aliyewaacha wengi na mimba wanamuwaza alete matumiz🤪
 
Tawala zote huwa zina wanufaika na wakosaji, sasa usitazamie wanufaika wa Mwendazake wakafurahia mageuzi ya mama Samii, hicho kitu hawatapenda na ndiyo wapinga mipango yake. Siku zote huwezi kupendezesha wanadamu wote mama aendeshe nchi kwa misingi ya Upendo,haki, amani,kudumisha demokrasia na kufuata katiba, pia kumbuka hata shetani ana wafuasi wake.
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
I concur with you. We almost are now seeing the light (within less than 100 days of our beloved President). Keep it up Her Excellency Samia Suluhu Hassan and Stay Blessed
 
Hata kigogo haamin kama kashaondoka maana siasa zoote za mnaowaita sukuma gang zinamhusu yeye. Kama huamin kamuulize kigogo anamuwaza nan saiz kama syo kidume aliyewaacha wengi na mimba wanamuwaza alete matumiz🤪
Inawezekana kigogo alikuwa Jiwe mwenyewe
 
watanzania wanapenda DEMOKRASIA bt hawajui kama mawazo hasi pia ni sehemu ya demokrasia, tembeleeni pages za kisiasa za marekani, uingereza, ujerumani, ufaransa na nk... mjifunze namna siasa za kidemokrasia zinavyoendeshwa.

kule watu wanatukana, wanakejeli, wanabeza bt huwezi kuta reaction za kijinga kama tufanyavyo sisi.
 
Ni Watanzania Sisi ( GENTAMYCINE ) nikiwemo wakati wa Uongozi wa Hayati Rais Dkt. Magufuli tulikuwa tunalalamika Mzunguko wa Hela ni mgumu na hata Kumlaumu Hayati kwa kutokupenda Kwake ' Kujichanganya ' na Mataifa Jirani na hata Makubwa ili Maendeleo ya haraka yapatikane na Ustawi wetu uwepo.

Haya hivi sasa tuna Rais Mheshimiwa Mama Samia Suluhu Hassan ambaye taratibu anaanza ' Kujjtanua ' kwa Kushirikiana na Mataifa Jirani na Makubwa hadi Kuwavutia Wawekezaji wakubwa ili aweze kurudisha Mzunguko wa Pesa nchini, Miradi mingi itakayochochea upatikanaji wa Fursa za Ajira ili akina GENTAMYCINE tuondokane na Umasikini ( Unyonge ) wa Kipesa tulionao tumeanza tena ' Kumzodoa ' na ' Kumzoza ' Mama wa Watu kuwa sijui anauza nchi na anaipeleka nchi kubaya.

Hivi Watanzania tunataka nini? Tunajitambua kweli? Hizi Nongwa na huu Unafiki wetu ' uliotutukuka ' zina Faida gani? Ni kwanini tunakuwa ni Watu tu wenye Majungu, Visununu, tusiokuwa na Uvumilivu wala Shukrani? Tumelorogwa na nani ili tuwaombe Viongozi wa Kidini watuombee au tufunge tumlilie Mwenyezi Mungu?

Mama wa Watu masikini ( Rais Samia Suluhu Hassan ) hana hata Siku 100 tu Ofisini tayari kuna Mifalme Njozi ' Mipopoma ' inajifanya imeshajua kule ambako anatupeleka wakidai kuwa anatupoteza na kwamba hawezi Kuongoza kama ilivyokuwa kwa Mtangulizi wake Hayati Rais Dkt. Magufuli.

Leo hii baadhi yetu tunamsema kwanini Mama ( Rais Samia Suluhu ) ana ukaribu mno na Rais Mstaafu Jakaya Kikwete na kwamba ndiyo anamuongoza Kiuongozi kitu ambacho hata hivyo Mimi GENTAMYCINE sioni tatizo lolote lile juu ya hilo.

Mbona wakati Hayati Rais Dkt. Magufuli alivyokuwa Madarakani alikuwa na ukaribu sana na Rais Mstaafu Hayati Benjamin Mkapa na ndiyo alikuwa akimuongoza na tulikuwa hatusemi?

Kama Great Thinkers, Academicians na Think Tanks wa Tanzania tunaacha Kumsaidia Mama ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) kwa Ushauri na Mawazo ' very Constructive ' ya kuitoa Tanzania yetu hapa ilipo na ikimbizane na Mataifa mengine Kutwa tu tunakalia Majungu, Umbea, Wivu na Unafiki.

Kwako Mheshimiwa Rais wangu ( wetu ) Mama Samia Suluhu Hassan tafadhali nakuomba Ongoza nchi kwa ' Style ' yako na kamwe usitusikilize Sisi ' Wanafiki Wakomavu ' wa Kitanzania tusio na hata chembe ya Uvumilivu na Shukrani ndani ya Mioyo yetu na Roho zetu pia.

Kitabu cha Rais Hayati Dkt. Magufuli kimeshafungwa na sasa ni wakati wa Kuandika Kitabu chako na Wewe ukiingia tu katika Mtego wa Kusikiliza ' Majungu ' yetu Sisi ' Waswahili ' utapoteza Dira yako na ndiyo utakosea na Kuongoza nchi vibaya kisha utakuwa umeshawapa ' Waswahili Wanafiki ' cha Kusema na ' Nongwa ' zao ( zetu ) kuzidi.

Chapa Kazi Mama yetu ( Mheshimiwa Rais Samia Suluhu Hassan ) TUNAKUPENDA na tutakuombea MAFANIKIO kwa Mwenyezi Mungu ( Allah ) na Binafsi kama GENTAMYCINE wala sina Shaka nawe kwani najua unaweza, una uzoefu na una bahati na kupata Washauri wazuri ambao Ndoto zao ni Kuona Watanzania wanafurahi Kiuchumi, Kiustawi na Kimaendeleo pia.

Dozi hii 'Mujarab' iwaingieni vizuri mno.
Huna lolote wewe zaidi ya kuzunguka mbuyu ila mwisho wa yoote umetoka clear kuwa Msoga gang!

Huyu mama pamoja na kuwa Rais bado anabaki kuwa Binadamu wa kawaida kama mimi na wewe tu.
Usitake kulazimisha mtu mmoja afikirie kwa niaba ya watu milioni zaidi ya sitini nchini,bila ya kupewa changamoto.

Huo ushauri mnaompa ni haki yenu, lakini bahati mbaya ni kwamba watanzania walikwisha AMSHWA na mwendazake wakaujua u RAISI ni nini?

Hii panga pangua yenu ya kipigaji inaonekana kwa kila mtanzania.
Sherehe zenu zitakuwa za muda mfupi sana!
Dalili ziko wazi.
Msituone wote mabwege
IMG_20210525_072229.jpg
IMG-20210524-WA0004.jpg
IMG_20210524_000552.jpg
 
Huna lolote wewe zaidi ya kuzunguka mbuyu ila mwisho wa yoote umetoka clear kuwa Msoga gang!

Huyu mama pamoja na kuwa Rais bado anabaki kuwa Binadamu wa kawaida kama mimi na wewe tu.
Usitake kulazimisha mtu mmoja afikirie kwa niaba ya watu milioni zaidi ya sitini nchini,bila ya kupewa changamoto.

Huo ushauri mnaompa ni haki yenu, lakini bahati mbaya ni kwamba watanzania walikwisha AMSHWA na mwendazake wakaujua u RAISI ni nini?

Hii panga pangua yenu ya kipigaji inaonekana kwa kila mtanzania.
Sherehe zenu zitakuwa za muda mfupi sana!
Dalili ziko wazi.
Msituone wote mabwege View attachment 1798809View attachment 1798811View attachment 1798813
Pole tu kwa 'Msiba' wa 17 March, 2021.
 
Basi sukuma gang ina nguvu na ni kubwa mno.Kila anayemkosoa mama ni Sukuma gang, Kwa haraka haraka huyu mama ni malaika na hakupaswa kukosolewa.
Malaika si yupo kule kafukiwa Chato na sasa anawaongoza 'malaika huko'. Huyu ni Binadamu, anakosea na anaweza jirekebisha. Aliyejiita 'malaika' alishafukiwa chini huko kijijini kwake.

Sent from my SM-A305F using JamiiForums mobile app
 
To be honest, I hate the name Sukuma Gang, ingawaje nafahamu wapo miongoni mwao ambao walikuwa wanaunga mkono kila kitu kutoka kwa Mwendazake huku wakifanya hivyo kwa kusukumwa na ukabila!

Mwendazake was creating a CULT in Tanzania . Alikuwa anatumia ccm kutaka kujenga umaarufu tofauti na misingi ya ccm na ndio maana kama mtakumbuka wakati wa uchaguzi wa 2015 alikuwa ansema chagua MAGUFULI na sio ccm kama kauli mbiu yake!! Aliamini kabisa kuwa alishinda ule Uchaguzi kwa nguvu zake kama Magufuli na sio kama ccm. Kutokana na imani hiyo ndio maana alianza kusuka wafuasi wake na kuwaleta ndani ya ccm ili kukisafisha chama ambacho alisema kilikuwa kimejaa mafisadi!! Ndio hapo alipowaleta wakila Bashiru etc. na kuwaondoa kwa fedheha uongozi wa zamani wa wakina Kinana na Makamba !!

Mvutano iliopo sasa ni wale wa zamani enzi ya Kinana na Makamba ambao ndio team moja na Kikwete [ ccm asilia] wakisigana na wale walioletwa na Magufuli wakiongozwa na Bashiru na wafuasi wao wengi wao wakiwa wa kutoka kanda ya ziwa [ ccm masalia 'aka' SUKUMA Gang] wote wakijipanga kutaka kuwa na influence ya kuongoza nchi!

Ingawa Rais inasemekana anashauriwa kwa karibu sana na Kikwete but so far she has managed to navigate this precarious situation very carefully to not seen to antagonize either side!
 
Back
Top Bottom