BabaMorgan
JF-Expert Member
- Dec 18, 2017
- 4,869
- 13,137
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.
Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.
Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.
Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.