Kuna muda lafudhi zinakuwa zinakata vibe

Kuna muda lafudhi zinakuwa zinakata vibe

BabaMorgan

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2017
Posts
4,869
Reaction score
13,137
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.

Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.

Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
 
Huwa najiuliza ina maana ukiwa na lafudhi huwez pata ajira ya utangazaji wa redion au kwenye tvs

Ila ndugu zetu wa ngarenaro nakuwa nawasikia sikia sana kwenye maredio mengi siku hz au rafudhi yao ni nzuri
Mkuu unapata. Kule mkoa wa Kagera kuna redio inaitwa Karagwe Fm watangazaji wana lafudhi ya kihaya na bado wanakiwasha.
 
Mkuu unapata. Kule mkoa wa kagera kuna redio inaitwa karagwe Fm watangazaji wana lafudhi ya kihaya na bado wanakiwasha.
Naona lafudhi sio kipaumbele sana ishu ila kuzoea tu Mfano mi napenda sana kumsikiliza yule jamaa wa njia panda sijui ndo Dr. Isack Maro yaani jamaa vile akiongea na ile sauti kama ya kipind inaleta ldaha fulani ivi nzuri.

Kuna yule George Maratu 🤣🤣🤣huyu watu wanampenda Yale manjonjo yake, kuna Godfrey Munyu anafanya kama anafoka na besi ila sauti still ni nzuri yaani wote wakitangaza mtu unafurahia
 
Naona lafudhi sio kipaumbele sana ishu ila kuzoea tu Mfano mi napenda sana kumsikiliza yule jamaa wa njia panda sijui ndo Dr. Isack Maro yaani jamaa vile akiongea na ile sauti kama ya kipind inaleta ldaha fulani ivi nzuri.

Kuna yule George Maratu 🤣🤣🤣huyu watu wanampenda Yale manjonjo yake ,Kuna Godfrey Munyu anafanya kama anafoka na besi ila sauti still ni nzuri yaani wote wakitangaza mtu unafurahia
Mbona Dkt. Isaack huwa sisikii lafudhi yake, kwani ni mtu wa wapi
 
Mzee sio ya kihaya pekee kuna ile ya wasukuma, wachaga, wamachinga inshort watu kutokea bara tulinyimwa lafudhi atleast wenzetu wa pwani wametupiga gape.
Kinachonifanya lafudhi ya Kihaya inikate stimu ni kipindi hicho nanunua malaya wa Kihaya enzi hizo.

Sasa lile swali lao bado haujakojoa katika lafudhi ya Kihaya ilikuwa inanikera mpaka leo hiyo kauli iko kichwani kwa lafudhi hiyo.

Imeniathiri sana kisaikolojia hiyo lafudhi
 
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.

Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.

Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
Hahaha, hii inatokea sana....haswa Wasukuma na Wahaya
 
Naona lafudhi sio kipaumbele sana ishu ila kuzoea tu Mfano mi napenda sana kumsikiliza yule jamaa wa njia panda sijui ndo Dr. Isack Maro yaani jamaa vile akiongea na ile sauti kama ya kipind inaleta ldaha fulani ivi nzuri.

Kuna yule George Maratu [emoji1787][emoji1787][emoji1787]huyu watu wanampenda Yale manjonjo yake ,Kuna Godfrey Munyu anafanya kama anafoka na besi ila sauti still ni nzuri yaani wote wakitangaza mtu unafurahia
Isaac Maro nimemsikia kwa mtazamo wangu lafudhi yake sio mojamoja kutokana na exposure aliyonayo. Ile George Maratu watu wanapenda sababu wanachukulia kama kichekesho kumsikia
 
Isaac maro nimemsikia kwa mtazamo wangu lafudhi yake sio mojamoja kutokana na exposure aliyonayo. Ile George Maratu watu wanapenda sababu wanachukulia kama kichekesho kumsikia
🤣🤣Yale manjonjo watu wanapenda ila kwa kipind cha njia panda ile coverage nzima na kama Kuna melody fulani wanaweka basi na ile sauti Inakuwa kama movie fulani inapendeza sana.
 
Mzee sio ya kihaya pekee kuna ile ya wasukuma, wachaga, wamachinga inshort watu kutokea bara tulinyimwa lafudhi atleast wenzetu wa pwani wametupiga gape.
Dah kama ulikuwa mawazoni mwangu. Mimi na ya kipemba siipendi. Ila ya kihaya hainikeri (sisemi hivyo sababu natoka huko). Pia ya kikurya, kisambaa huwa hazinikeri. Ila ya kichaga, kisukuma, kimakonde, na kipemba sizipendi.
 
Naona lafudhi sio kipaumbele sana ishu ila kuzoea tu Mfano mi napenda sana kumsikiliza yule jamaa wa njia panda sijui ndo Dr. Isack Maro yaani jamaa vile akiongea na ile sauti kama ya kipind inaleta ldaha fulani ivi nzuri.

Kuna yule George Maratu 🤣🤣🤣huyu watu wanampenda Yale manjonjo yake ,Kuna Godfrey Munyu anafanya kama anafoka na besi ila sauti still ni nzuri yaani wote wakitangaza mtu unafurahia
Dr. Issack Hana Accent ya kichaga anaongea vizuri labda Adamu Mchomvu mabangi .
 
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.

Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.

Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
Inakata stimu kinyama adi unahisi aibu😅😅😅
 
Back
Top Bottom