Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Adam sijawahi kumuelewa yaani makelele tu na mabhangi ...Dr issack Hana Accent ya kichaga anaongea vizuri labda Adamu mchomvu mabangi .
Dj Fetty bhana yaani hata awe live ile sauti inapenya
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Adam sijawahi kumuelewa yaani makelele tu na mabhangi ...Dr issack Hana Accent ya kichaga anaongea vizuri labda Adamu mchomvu mabangi .
Kwa mfano Mluguru anavyoongea unaweza kuhisi hata kwenye kufikiria ni mzito kumbe ni lafudhi tu.Bila kusahau Wanyaki na Waluguru
Wahaya kila akitamka sentensi anamalizia na 'sho' huwa mna maanisha nini?Lafudhi mbaya inayoongoza ni ya wasukuma
Moshi..Mbona dr.isaack huwa sisikii lafudhi yake,kwan ni mtu wa wapi
Bila kusahau yo..Wahaya kila akitamka sentensi anamalizia na 'sho' huwa mna maanisha nini?
[emoji23][emoji23] sijui huwa wanamaanisha niniBila kusahau yo..
BBC wanaajiri kwa kufuata lafudhiHuwa najiuliza ina maana ukiwa na lafudhi huwez pata ajira ya utangazaji wa redion au kwenye tvs
Ila ndugu zetu wa ngarenaro nakuwa nawasikia sikia sana kwenye maredio mengi siku hz au rafudhi yao ni nzuri
Kwenye R na L ni tatizo kubwa sio kwenye kutamka mpaka kuandika bado mtihaniNatoka kwenye mada; naomba niongeze wenye matatizo ya “R” na “L” kwenye matamshi, eg. Lafiki yangu, ameweka langi ya brue .....arghhhh!!
Yo na Sho ni kama mshangao.[emoji23][emoji23] sijui huwa wanamaanisha nini
Nakuelewa kamanda, nakuelewa. Niliwahi kwenda kufanya kazi flani kwenye mgodi wa makaa ya mawe Tancoal pale Ruanda Songea. Jioni moja nikawa loose kwenye kisenta cha Ruanda pale ikapita pisi... pisi ya kwenda. Nikasema haya si ndo mambo yangu sasa.Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.
Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.
Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
😳🙄Bila kusahau Wanyaki na Waluguru
Mbona ni ngumu kutambua lafudhi zaoBBC wanaajiri kwa kufuata lafudhi