Half american
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 38,283
- 97,793
Sana kuna na wahaya ila nililiona hili kwa wachache. Huyo jamaa anapenda masifa yeye mda wote ni kuongea na kujisifia na ile lafudhi yakeYani unabaki kumshangaa wanatumia nguvu kubwa ya taya katika kuongea