Kuna muda lafudhi zinakuwa zinakata vibe

Kuna muda lafudhi zinakuwa zinakata vibe

Nakuelewa kamanda, nakuelewa. Niliwahi kwenda kufanya kazi flani kwenye mgodi wa makaa ya mawe Tancoal pale Ruanda Songea. Jioni moja nikawa loose kwenye kisenta cha Ruanda pale ikapita pisi... pisi ya kwenda. Nikasema haya si ndo mambo yangu sasa.

Pisi nikaisemesha, ile kujibu kiswahili kimetafunwa na lafudhi ya Kingoni aisee...kuna vibe flani ilipotea ghafla.

Ila kuna lafudhi zingine zinanipaga vibe. Kama manzi za chuga daaaa! Ile lafudhi ya mademu wa chuga inanipaga vibe moja ya hatari.
[emoji23][emoji23] sema tunaishi nao.
 
Manyara hapana kwakweli upande wangu.Wote tulioanza kuongea lugha zetu za asili ndiyo tukaja kufahamu kiswahili,tuna mtihani mkubwa upande wa lafudhi.
Aisee mzee ndio mlikuwa mkienda shule mnaambiwa marufuku kuongea kilugha[emoji23][emoji23]
 
Kwakweli Kagera kwa lafudhi nibaya na inakera zaidi ukikutana na much know halafu aongee kiswanglish, inatia hasira sana
Nilipanda basi kuelekea Kagera yule mdada na lafudhi yake ya kihaya akaniuliza eti kaka unajuwa kusoma.
 
Kwani kuna mkoa hauna wasukuma bro? Kwa taarifa yako kuna Wasukuma ambao hawajui Sinyanga, Geita, Mwanza wala Simiyu. Unakuta wamezaliwa Ilemba Rukwa, Kisaki Morogoro, Ubaruku Mbeya, Kitunda Tabora, Newala Mtwara ama Kazuramimba Kigoma. Ni kawaida sana
Na huko kote hawachangamani na wenyeji hadi lafudhi inakuwa ya kisukuma japo hajazaliwa usukumani....Duh
 
Lafudhi mbaya Afrika kwa mademu.

1. Wakurya
2. Wachaga
3.Wahaya
4. Wamakonde na kusini yote
5. Kikuyu
6. Nijeria

Lafuzi zenye mzuka Afrika

1. Mabinti wa Tanga
2. Sukuma girls
3.Rwanda qeens
4
Wewe utakuwa msukuma, hakuna mtu anayependa lafudhi ya kisukuma labda awe msukuma mwenyewe
 
Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.

Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.

Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
Hapo ndipo Waafrika tunapopotea. Wengine wanajifanya hata Kiswahili hawakijui vizuri wanatema yai hata kama kikoloni chenyewe ni cha kubangaiza. Kila mtu ana identity yake ikiwa ni pamoja na namna ya kuongea. Kama unavyoongea hakuakisi asili yako basi jua uchakopa utambulisho wa asili nyingine.

Sent from my SM-A6050 using JamiiForums mobile app
 
Na huko kote hawachangamani na wenyeji hadi lafudhi inakuwa ya kisukuma japo hajazaliwa usukumani....Duh
Wana vijiji vyao hawa jamaa, ni kama Wamasai tu. Wapo wanaochangamana,lakiniMsukuma ni Msukuma tu, lafudhi iko palepale
 
Back
Top Bottom