Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Na kithembe juuKuna huyu Msanii
Ney Wa Mitego
Anatatizo sana la R na L. na anaimba kabisa.
Kelo...... badala ya kero
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na kithembe juuKuna huyu Msanii
Ney Wa Mitego
Anatatizo sana la R na L. na anaimba kabisa.
Kelo...... badala ya kero
Yes..Na kithembe juu
[emoji23][emoji23] sema tunaishi nao.Nakuelewa kamanda, nakuelewa. Niliwahi kwenda kufanya kazi flani kwenye mgodi wa makaa ya mawe Tancoal pale Ruanda Songea. Jioni moja nikawa loose kwenye kisenta cha Ruanda pale ikapita pisi... pisi ya kwenda. Nikasema haya si ndo mambo yangu sasa.
Pisi nikaisemesha, ile kujibu kiswahili kimetafunwa na lafudhi ya Kingoni aisee...kuna vibe flani ilipotea ghafla.
Ila kuna lafudhi zingine zinanipaga vibe. Kama manzi za chuga daaaa! Ile lafudhi ya mademu wa chuga inanipaga vibe moja ya hatari.
Poo wanapenda sana ndugu zetu waliopakana na museveniBebi umerara eti my umerarepoo?
Mi najiuliza kama Lugha yetu wenyewe kiswahili kinatupiga chenga hivi lugha iliyokuja na ndege tunatoboaJitu halijua tofauti ya R na L linataka kazi BBC
Ukute mtu anachanyanya l na rHasa lafudhi ya Kihaya huwa inanikata stimu sana
Aisee mzee ndio mlikuwa mkienda shule mnaambiwa marufuku kuongea kilugha[emoji23][emoji23]Manyara hapana kwakweli upande wangu.Wote tulioanza kuongea lugha zetu za asili ndiyo tukaja kufahamu kiswahili,tuna mtihani mkubwa upande wa lafudhi.
Wapare ,wamasai na wairaq ndo wana tabia izo kitu kidogo wanasonya usiombe wakasirike aiseee😂😂.Kuna ile lafudhi ya kusonya sonya kama vile inatafuna big G siipendi kabisa
Nilipanda basi kuelekea Kagera yule mdada na lafudhi yake ya kihaya akaniuliza eti kaka unajuwa kusoma.Kwakweli Kagera kwa lafudhi nibaya na inakera zaidi ukikutana na much know halafu aongee kiswanglish, inatia hasira sana
Kwa hiyo mwanamume anayechanganya L na R hana nafasi kwako hata akutokeeUkute mtu anachanyanya l na r
Awe mwanamke au mwanaume hata urafiki nae wa kawaida haiwezekani
Hana nafasi kwa kweli maana maongezi yake yatani-put off.Kwa hiyo mwanamume anayechanganya L na R hana nafasi kwako hata akutokee
Na huko kote hawachangamani na wenyeji hadi lafudhi inakuwa ya kisukuma japo hajazaliwa usukumani....DuhKwani kuna mkoa hauna wasukuma bro? Kwa taarifa yako kuna Wasukuma ambao hawajui Sinyanga, Geita, Mwanza wala Simiyu. Unakuta wamezaliwa Ilemba Rukwa, Kisaki Morogoro, Ubaruku Mbeya, Kitunda Tabora, Newala Mtwara ama Kazuramimba Kigoma. Ni kawaida sana
Vipi akiwa na mihela na anaku-care?Hana nafasi kwa kweli maana maongezi yake yatani-put off.
Nakwambia hiviiii haiwezekani hata kwa bahati mbaya. Nitamgundua ongea yake tangu siku ya kwanza na hataniona tena wala kunisikia.Vipi akiwa na mihela na anaku-care?
Wewe utakuwa msukuma, hakuna mtu anayependa lafudhi ya kisukuma labda awe msukuma mwenyeweLafudhi mbaya Afrika kwa mademu.
1. Wakurya
2. Wachaga
3.Wahaya
4. Wamakonde na kusini yote
5. Kikuyu
6. Nijeria
Lafuzi zenye mzuka Afrika
1. Mabinti wa Tanga
2. Sukuma girls
3.Rwanda qeens
4
Ndio kusema pesa imepoteza mvuto[emoji23][emoji23]Nakwambia hiviiii haiwezekani hata kwa bahati mbaya. Nitamgundua ongea yake tangu siku ya kwanza na hataniona tena wala kunisikia.
Kikweli nashukuru ingawa sina pesa kabisa lkn mwenye pesa zake hanishtui...sijawahi kushtuka😅😅Ndio kusema pesa imepoteza mvuto[emoji23][emoji23]
Wanajisikia wale, ndo ukute ana kauwezo sasa utafurahiNilipanda basi kuelekea Kagera yule mdada na lafudhi yake ya kihaya akaniuliza eti kaka unajuwa kusoma.
Hapo ndipo Waafrika tunapopotea. Wengine wanajifanya hata Kiswahili hawakijui vizuri wanatema yai hata kama kikoloni chenyewe ni cha kubangaiza. Kila mtu ana identity yake ikiwa ni pamoja na namna ya kuongea. Kama unavyoongea hakuakisi asili yako basi jua uchakopa utambulisho wa asili nyingine.Unakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.
Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.
Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
Wana vijiji vyao hawa jamaa, ni kama Wamasai tu. Wapo wanaochangamana,lakiniMsukuma ni Msukuma tu, lafudhi iko palepaleNa huko kote hawachangamani na wenyeji hadi lafudhi inakuwa ya kisukuma japo hajazaliwa usukumani....Duh