Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Come = komu ooKwa Afrika nigeria wanaongea vibaya mno,, yani nawaonaga kama wachafu sana hao watu
Kisukuma akiongea mrembo imekaa powa ila likiongea dume moja kwa moja linaonekana boya fulani hv[emoji28]Naipenda lafudhi ya kisukuma[emoji23][emoji23][emoji23]
Siipendi ya kichaga na kihaya.
Hapana, mie naipenda kwa wote, inanifurahishaga sana.Kisukuma akiongea mrembo imekaa powa ila likiongea dume moja kwa moja linaonekana boya fulani hv[emoji28]
Itakuwa unawasema wajomba geteUnakutana na mwanamke au mwanaume amevaa kapendeza ananukia marashi kwa mtazamo unakubali kuwa ni full package.
Shida inaanza pale anapoongea unakuta na ile lafudhi yenyewe ya kikabila mpaka unaweza pata wenge kuwa upo kijijini.
Kuongea lafudhi za kikabila doesn't mean kuwa wewe ni mshamba ila kuna kavibe unakuwa umekaondoa just imagine pisi iwe kali afu iongee ile lafudhi ya ebitoke.
[emoji23][emoji23][emoji23]Yuko mmoja..Kiswahili chake unaeza Cheka,anakwambia "nimekula ugali na nyama yake" kumbe anamaanisha amekula ugali na nyama[emoji856][emoji856]
[emoji1787][emoji1787][emoji1787] siwapendiNatoka kwenye mada; naomba niongeze wenye matatizo ya “R” na “L” kwenye matamshi, eg. Lafiki yangu ameweka langi ya brue .....arghhhh!!
Na much know wa kutoka shamba ni balaa afadhali born townKwakweli Kagera kwa lafudhi nibaya na inakera zaidi ukikutana na much know halafu aongee kiswanglish, inatia hasira sana
🤣🤣🤣🤣mkuu ushavushaLafudhi ya mtoto wa Kipemba au kutoka Tanga ukute anaongea nawe maneno ya kimahaba wakati mko kitandani kwenye mzagamuo utafurahi aisee
Kuna huyu MsaniiJitu halijua tofauti ya R na L linataka kazi BBC
Ya kisukuma mbaya mno , bora hata ya kihayaHahaha, hii inatokea sana....haswa Wasukuma na Wahaya
Tena bora wakiongea wanaume kuliko wanawakeIle ni ‘patois’ mkuu.
Inawa brand kuwa ni wanaijeria na inauza sana muziki na sinema.
Mfano: Joe Boy na Pato Ranking.
Wanakera sanaCome = komu oo
Mom = Momaa
I need to go = I nuu goo
He play football = He pay fuuboo
[emoji13] [emoji1184]
Wana mbwembwe balaa kujipaisha kwingii kumbe apeche aloloNa much know wa kutoka shamba ni balaa afadhali born town
Namshukuru Mungu sio muongeaji sana na sipendi ujuaji, kuna muda ukimya unakuepushia fedhehaWana mbwembwe balaa kujipaisha kwingii kumbe apeche alolo