Azarel
JF-Expert Member
- Aug 25, 2016
- 28,916
- 40,479
Kwani sisi tumemkosea nini Mungu? Si utanifundisha kutumia kiswahili kizuri? Mbona si mvumilivu wewe lakini?Nakwambia hiviiii haiwezekani hata kwa bahati mbaya. Nitamgundua ongea yake tangu siku ya kwanza na hataniona tena wala kunisikia.